Aziz mechi zake ni zile za Biashara na IhefuHii sio mechi ya aziz ki
Utashangaa Aziz Ki ndio anafunga goli kabla ya half time.Hii sio mechi ya aziz ki
Wakuu mimi mpira siuwezi yaani moyo unanikimbia daah
Ahaaa basi onesha mkeka wako hapa!Yanga always win
AnaboaaaMaele mpaka akose kose sana kwani???