Usituwangie basi,bado mapema sanaaa[emoji1][emoji1]Yanga wanakufa 2-0
hivi vitimu vya mcangani ndiyomnaleta tanzania?
Azizi Ki pamoja na ubovu wake wa leo lkn atatu-suprise kwa kufunga au assistAziz Ki ana kesi ya uzurulaji
Freekick tena tunapata hapa dakika hii ya 30