Mwana kulitaka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Diara anapoteza sana muda kama vile timu imeshashinda
Anapiga goli kabla ya half time, maana second half nafasi yake atachukuwa sure boy.Azizi Ki pamoja na ubovu wake wa leo lkn atatu-suprise kwa kufunga au assist