Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
- Thread starter
-
- #521
Dooh aaah jmn hata mpira haujaishaaaLeo nina furaha jaman [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
weka picha tuone [emoji23][emoji23][emoji23]
ASEC Mimosas analijua vizuri bus lao[emoji1].Waarabu wanakaba wengi kwenye box lao kama wavietnam
[emoji23][emoji23]Bangala is super playing.
Musonda na Aziz K, fyongo.
Sio vizuri kicheka mwenyewe mkuu
Tucheke wote[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
Bantu lady hajambo lakini?Where is my Kalpana, leo nakupa li Moyo lote. Angalau uungane nasi. Nimelihamisha limoyo kwa muda kutoka kwa Bantu Lady , kuja kwako.
View attachment 2638102
Sisi tulitaka goli la ugenini tu hayo mengine hatuna kazi nayo, kwahiyo tuna haki ya kuongea regardless.Fans wa usma tusimalize maneno, tusubili dk90 zikamilike
Dooh aaah jmn hata mpira haujaishaaa
Msimalize maneno, Yanga ni timu Kubwa jamani
๐๐๐๐Hilo nalijua (kurudi lazima), ndiomaana sikutaka kuondoka kwa mikwara, waarabu mmeshindikana[emoji23]