Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji89][emoji89][emoji89][emoji89]
Na wewe ๐คงNa nani?
Wewe ndiye mtanzania mzalendo....Kabisa mkuu, siwapendi kabisa uto ila kwa maslahi Mapana ya nchi yangu sina budi kuwaunga mkono ndala
Huna unachokijua wewe. Kaa kimya kwa utulivuYANGA WAKO NYUMBANI LAKINI HAMNA KITU, HAO JAMAA WAMEFANYA DANGEROUS ATTACK KULIKO DEPORTIVO LA UTOPOLO
Hawezi kufanya hivyo, mkisi wewe ๐Nikiss basi mtani
Mngemtumia yule mganga aliyewafikisha fainali maana hamkufika hapa kwa uwezo wenu.Wamepata support ya mganga wa simba aliyeipiga yanga na mvua kwenye dabi ya mwisho
๐๐๐I believe hawa waarabu wenyewe wanajua nini kinafuata kipindi cha pili. I believe waarabu feki wote mnajua nini anaenda kukutana nacho muarabu huyu uwanjani. Just wait and see
Aminaaa kubwaaaaTunaenda kupindua meza
Hahaaa wapigwe hadi wanyeKwa dua hii kipindi Cha pili bora uto asiingize timu