Nimeandika ubashiri wangu leo kuhusu matokeo ya yanga ghafla bin vuu mmeunganisha uzi wangu kwenye uzi wa LIVE thread ya mechi hiyo sijawaelewa kwanini au ndio kupagawa..? Nilishatabiri leo mechi ya Yanga matokeo ni - Yanga 1 - 2 USM Alager. Mods kitendo mlichokifanya sijapenda ikiwa kulikuwa hakuna sababu za msingi za kufanya hivo mnazingua bhana aaaaah.!!
MDAKA MISHALE KILA MECHI ANASHONWA TU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]