FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Waamuzi wote wa VAR wanatokea Misri. Hayaaa
 
Usisahau kuwa hakuna team yoyote uliyowahi kuingia fainali kisha ikaanza kwa kupoteza mechi yake ya nyumabani isipokuwa Yanga.

Kuna uwezekano ikapigwa nje-ndani na kuandika record ya kipekee.
Sawa ila fainali ndio nishafika na medali nishavaa.
 
Azizi Ki hamna kitu pale, yule ni mchezaji wa msimu.

Kiwango chake hakipo constant
Alikuwa ni player wa kampeni kama ilivyokuwa kwa Manzoki Simba sc, tofauti ya Simba Sc ni kwamba hawakuingia mkenge kumsajili.
 
Mvua ya mawe inakaribia kuanza
 
Imeanza.

Yanga wakishinda mbele ya mashabiki waarabu wote hawa watakuwa wametisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…