,πͺπͺπͺπͺπππππNawaona nawaona
Ulikuwepo tarehe 28?Haijawahi tokea ukasapoti timu ikashindaπ
Na ikifika dk ya 60/70 hali ikiwa hivi inawezekana presha ikazidi.USMA WAMEPANIC NA WANA PRESSURE SANA
YANGA WAMEJUA JINSI YA KUCHEZA NAO KWA PRESHA
Wameamua kupiga makofiππUSMA WAMEPANIC NA WANA PRESSURE SANA
Kila timu unayosapoti lazima iishie kupata gunduUlikuwepo tarehe 28?
Hawana mipango au hawakurupuki?Wanangu tusipokuwa makini huenda hawa uto wakachukua hili kombe .mana naona hawa waarabu Koko washatepeta hawana mipango ya kupata goli kabisa
Tukishinda ntakanyanyasa sana haka katoto [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] mchawiiii huyuuu USM ALGER
nafikiri mchawi wa yanga kachoka mikono kapitiwa kidogo kukoroga jungukuna kunguru wawili wamekatiza nina mashaka