FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vlassmate leo kazi unayo, utalala na viatu
 
hz dk 15 za kwanza [emoji196][emoji196] watapambana wapate goli la mapema kuwatoa mchezon USM Alger ,bila ya kusahau USM naye atafanya hvyo hvyo
 
Yanga hawatoboi. Niko hapa kusubiri povu.
 
Juzi kocha alilaumiwa sana kumuanzisha Lomalisa na mkadai kuwa game hii aamzishwe kwakua ni mzuri kwa kushambulia.
Ni kweli Lomalisa ni mzuri kwenye kushambulia. Ila kwa bahati mbaya tayari ana kadi ya njano, na mashambulizi mengi yanaelekezwa kwake.

Kwa hiyo ikitokea akapewa kadi ya pili ya njano, maana yake timu itaelemewa sana.
 
Ni kweli Lomalisa ni mzuri kwenye kushambulia. Ila kwa bahati mbaya tayari ana kadi ya njano, na mashambulizi mengi yanaelekezwa kwake.

Kwa hiyo ikitokea akapewa kadi ya pili ya njano, maana yake timu itaelemewa sana.
Akiachwa mpaka apate Red Nabii nitamlaumu sana .
 
Kipindi cha pili Kimeanza... Game On!

USMA 0 YANGA 1

Aggregate score 2-2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…