ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Iipo la kufa kiumeKuna kombe la kushinda kwao?
Halafu zinaongezwa dakika sita , ujinga kabisaHakuna mpira wa hivi sehemu yeyote duniani
Mpira ambao mipira miwili miwili inarushwa ndani ya uwanja
Mechi inasimamishwa kwa sababu ya moshi
Mpira unaharibiwa kipuuzi tu
Wangeshambulia hivyo wangekula china cha pili.Yanga tumefanya ujinga, baada ya kupata penalty tukapoozesha sana mpira tukawa tunacheza mipira ya nyuma.
Kwisha habari yetu.
Binafsi siwadai Yanga chochote. Kwa hatua waliyofikia, wanastahili pongezi.KUFA KIUME sio?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuwa nashangilia nchi sio team ya young AfricanMshashindwa acha kelele
Leo ulijitahidi kutochangia chochote mpaka game iishe? Sisi tuliishi nao mazima humuhumu.Kwa hapa Utopolo mnastahili pongezi ila kikubwa mkosa kombe wajinga nyinyi