Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
hebu afafanueMshindi ndio Yanga kashinda 0-1 kwa mechi ya Leo au unataka mshindi yupi
Ukiongelea kishabiki lazima uje na mtazamo wa aina hiyo.Ili isipooze ilitakiwa mchukue kombe nyinyi sio? [emoji23]
Atuonyeshe kwanza hiyo damu, maana sisi tuliambiwa ni kivumbi.We mtangazaji zimantv fanya mambo yako, hizo habari za kutuambia wametoa jadho na damu ni upuuzi tu.
Jasho na damu halafu unatoka patupu si upimbi huo?
Wangekuwa na roho mbaya wangekubali kufungwa nyumbani kwao, tena kwenye mechi ya fainali!!waarabu wana roho mbaya sana.
Goli Raha yake ulihangaikieHuu ni mtazamo wako. Hivyo ninauheshimu.
Uto alitakiwa ashinde 2 bila ugenini sababu huku nyumbani alinyukwa 2-1 faida ilikuw kwa USMA so hako kagoli ka nguruwe kwake hakana faida tenaMie tu sielewi au???
Yaani yanga kashinda??
Atapata kombe???
Maana watu wanasema yanga kapigwa sijui na kombe hapati???
Nipeni ufafanuzi
Mie tu sielewi au???
Yaani yanga kashinda??
Atapata kombe???
Maana watu wanasema yanga kapigwa sijui na kombe hapati???
Nipeni ufafanuzi
Si kweliYule mama yule sijui ana kitu gani. Huko mbeleni timu ikipewa msaada na yule mama yule bora wamsusie
Utapeli wa hali ya juu,acha watu wapende mpira wa Ulaya tuNimeshangaa ati mpira unaisha wanashangilia..🤣 huu ni utapeli haswaa dah!