Kama ingekuwa hakuna Home and Away, kaburi lenu lingekuwa hapa hapa kwa Mkapa; wala msingeitia serikali hasara kwa kutoa ndege ili mkanywe kahawa. Nashindwa hata kufikiria adhabu ambayo angewapa Mzee Magu angekuwepo.Home and away ife na goal la ugenin life huu usenge yani unashinda alafu kombe anachukua mwingine
Watakosa mapato.halafu CAF wabadili haya mambo fainali iwe mechi moja tu tena neutral ground
Kumbe,,,,,,inamaana kombe hachukuwi??Uto alitakiwa ashinde 2 bila ugenini sababu huku nyumbani alinyukwa 2-1 faida ilikuw kwa USMA so hako kagoli ka nguruwe kwake hakana faida tena
Huna hoja aisee! Ni nani huyo aliyetolewa kwenye matuta? Watu wanaujadili huu mchezo wa fainali, wewe unaleta story tofauti kabisa.Mmetoka ndani Dk 90....! Hata kwenye Matuta hamjafika...!
Sasa aliyetolewa kwa Matuta asemeje?
Wewe kule CAFCL umewahi kufika hiyo robo?Uzuri hatua hii kwa mujibu wa CAF hujawahi kuifikia, wewe utakuwa mtu wa robo siku zote Mwakarobo.
SawaKiuhalisia young africans kashinda ila kisheria kafungwa
Ifike hatua FIFA wayaadhibu haya mataifa yenye usengeusenge kama hili la leo mpira wameshindwa kucheza uwanjana wanatumia siasa chafu.
Hii safi sana shida Africa kuna upumbavu mwingi sanaKUFUATIA MAUJINGA MENGI YALIYOTOKEA LEO UANJANI IKIWA MOJAWAPO LA VIJANA CHIPUKIZI WAOKOTAJI MIPIRA KUTUMIKA KATIKA KUPOTEZA MUDA, NAISHURI TFA YAPELEKE MAPENDEKEZO CUF KUWA FAINALI ZA MASHINDANO YA NAMANA HII, YASIFANYIKE KATIKA NCHI HUSIKA. IWE KAMA VILE ULAYA WANAVYOFANYA
Yaani fainali mechi mbili,Fainali ina Mambo ya magoli ya ugenini,ligi za Afrika ni za kitapeliKUFUATIA MAUJINGA MENGI YALIYOTOKEA LEO UANJANI IKIWA MOJAWAPO LA VIJANA CHIPUKIZI WAOKOTAJI MIPIRA KUTUMIKA KATIKA KUPOTEZA MUDA, NAISHURI TFA YAPELEKE MAPENDEKEZO CUF KUWA FAINALI ZA MASHINDANO YA NAMANA HII, YASIFANYIKE KATIKA NCHI HUSIKA. IWE KAMA VILE ULAYA WANAVYOFANYA
Achana nao hao wasitutoe kwenye mstari, wananlengo ovu ka kutufanya tuache kushangilia hiki tulichokipata.Wewe kule CAFCL umewahi kufika hiyo robo?
Mwakani hawatapata TENA Maganda ya ndizi kama Mwaka huu...!Ila tuacheni utani, hawa Uto SIMBA tusipojipanga kazi itakuwa ni kukaa pembeni na kuwaombea mabaya kama hivi.
Sasa baada ya kufika robo ulipata nini? Mwenzio nina medali,wewe je? Kwa hiyo ww uwezo wako ni robo?Wewe kule CAFCL umewahi kufika hiyo robo?
Msalimie Swalehe, najua atakuwa likizo.Halafu refa hakuongeza chochote sababu muda ulisimama muda wa dakika za nyongeza
Hii mechi ya kipuuzi tu
Mechi ya kijinga sana hii yanga wameonewa sana
Labda hatuwapendi sana Yanga lakini Yanga wameonewa sana hapa