Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Hii fainali nayo si ishakuwa historia?Ndiyo faraja yenu hiyo mnayojifariji kila mwaka. Wenzenu wanacheza fainali, nyinyi mnaishi kwa kutegemea historia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii fainali nayo si ishakuwa historia?Ndiyo faraja yenu hiyo mnayojifariji kila mwaka. Wenzenu wanacheza fainali, nyinyi mnaishi kwa kutegemea historia.
Yule tumeishamuonesha mlango wa kutokea, bado kutangaza tuKwa Nini usianze kumuondoa mvaa jinzi panaa,kolo wahed
Una asili ya uchawi na roho mbaya, sali sana hilo pepo likutokeWangevhukua Gongowazi yanj Mpira ungekuwa ni kitu cha kipumbavu kikichoingia nuksi.
Maisha ya mpira yangedharaulika maradufu, heshima ya watu waliowekeza kwenye mipira ingeshuka.
Yani mambo mengi ya ajabu yangefanyika sana.
Katika hili nakupa support, wajinga sana hawa wanasiasa. Mbona kwa USMA hatujaona agenda za kisiasa?Haya sasa wanasiasa warudi kwenye fani yao,watuachie timu yetu
Kwanini wasichekelee, kama fisi za watani zangu Wagogo zinavyochekeleaga kuvuka Barabara za lami, wakati wenzetu walishatuwahi kuwekeza MKAPA?Nimeshangaa ati mpira unaisha wanashangilia..🤣 huu ni utapeli haswaa dah!
Kushinda kwako hakujakunufaisha chochote, hongera kwa kufa kiume.Wangekuwa na roho mbaya wangekubali kufungwa nyumbani kwao, tena kwenye mechi ya fainali!!
Vipi kuhusu simba, hivi ilishawahi kushindwa kwa hao waarabu wenye roho mbaya?
Hamjabet??kwamba uende shule badala yake utafute sare kabisa😂😂😂Ananicheka tu hapa
Katika hili nakupa support, wajinga sana hawa wanasiasa. Mbona kwa USMA hatujaona agenda za kisiasa?
Shenzi kabisa.
Na hii ndio iliyosababisha Yanga afungwe huku DarKatika hili nakupa support, wajinga sana hawa wanasiasa. Mbona kwa USMA hatujaona agenda za kisiasa?
Shenzi kabisa.
Ulianza kwa bashasha ila mbeleni ume change ghaflaYanga ilibidi wagomee hata hizi medal
Mechi ya kipuuzi tu hii
Nonsense nonsense aisee