FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Mwanachi vimba kuna watu moment kama hii inawezekana wasione,sisi tumeiona na tuna cha kusimulia na CAF kwenye database zao wanatujua kuwa ni wa kwanza kutoka Tz kufika fainali na kuvaa medali.
Mnajipa hype za bure tu, anaechukua kombe CAFCC mwenyewe huwa hasikiki kabisa ije kuwa mvaa medali? BERKANE ulimsikia wapi baada ya pale?

Kombe la kuwekewa hizi hype ni CAFCC tu ambalo mtakuwa mnatoka hatua za awali kama kawaida yenu.

DATABASE FC[emoji23]
 
Kwa haya matokeo ndege abakie huko kutafuta abaria wengine! Wao warudi na mabasi kupitia Sudan Khatoum
 
Mnajipa hype za bure tu, anaechukua kombe CAFCC mwenyewe huwa hasikiki kabisa ije kuwa mvaa medali? BERKANE ulimsikia wapi baada ya pale?

Kombe la kuwekewa hizi hype ni CAFCC tu ambalo mtakuwa mnatoka hatua za awali kama kawaida yenu.

DATABASE FC[emoji23]
Kuvaa medali bila kombe Ni sawa na kuvaa irizi tu
 
Waarabu ni wapumbavu, na kwa mtindo huu michuano ya CAF itaendelea kuwa ya kupooza isiyo na mvuto.
Big up sana YANGA, hakika mmepambana, hatuna tunacho wadai
We bwana weeeeee usitutukane sisi hatukukutuma umuanzishe Azizi Ki mechi ya 1st leg mkiwa kwenu
 
Wivu tu umekujaa. Yanga anarudi kama mshindi wa pili. Na bado kuna tuzo ya mfungaji bora wanarudi nayo!!

Au ndiyo unataka kuwalinganisha na ile timu yako inayoishia robo fainali?
Makundi CAFCL uliingia lini? Achilia mbali hiyo robo fainali unayoiponda hapa.

Ni sawa na kuiponda MAMELOD kwakua misimu mingi inaishia robo, kwa kuilinganisha na Yanga iliyofika fainali CAFCC.

Kwanza Shirikisho ni nini?

SHIRIKISHO? [emoji23]
 
Mwanachi vimba kuna watu moment kama hii inawezekana wasione,sisi tumeiona na tuna cha kusimulia na CAF kwenye database zao wanatujua kuwa ni wa kwanza kutoka Tz kufika fainali na kuvaa medali.
Wewe Uto Sio Wa Kwanza Kufika Fainali Kombe La Loosers....Simba ameshatinga hapo 1993...! Ni historia tu

Halafu, Makundi CL Utopolo hamjatinga kwa zaidi ya Miaka 23...Ni historia tu
 
Mwanachi vimba kuna watu moment kama hii inawezekana wasione,sisi tumeiona na tuna cha kusimulia na CAF kwenye database zao wanatujua kuwa ni wa kwanza kutoka Tz kufika fainali na kuvaa medali.
Na kwa kuongezea tu.

1. Diarra ndo man of the match
2. Mayele kachukua kiatu cha dhahabu
3. Billion 2.3 zipo mfukoni za kuchania nywele


Waseme wanataka nini, jinsi mtumbani au beli dukani!!!!
 
We bwana weeeeee usitutukane sisi hatukukutuma umuanzishe Azizi Ki mechi ya 1st leg mkiwa kwenu
Leo mna kila sababu ya kuongea. Ngoja tuwapeni nafasi, maana kuimba ni kupokezana
 
Wangevhukua Gongowazi yanj Mpira ungekuwa ni kitu cha kipumbavu kikichoingia nuksi.

Maisha ya mpira yangedharaulika maradufu, heshima ya watu waliowekeza kwenye mipira ingeshuka.

Yani mambo mengi ya ajabu yangefanyika sana.
Huyu **** huwa anaongea kupitia taqo?.
 
Back
Top Bottom