Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kiko huko 🦁nmnyama🏃🏃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiko huko 🦁nmnyama🏃🏃
Eti Asante mama.Yaani na cha kushangaza ushindi wa Yanga ungegeuka kuwa wao na kujitapa wao ndio wameleta kombe nchini. Na t-shirt walishachapisha za kutosha
Shanga sisi hatuzijui labda wanapewa wanao ishiaga robo ndio maana wewe unazijua mpaka zinapopatikana, inawezekana mpaka sasa mnazo pair nne maana robo mmeishia mara nne. Sisi tunazo zijua medali na leo tumeziona live wachezaji wakivaa.Medali bila komba ni sawa na zile shanga za kienyeji za kutibu tonsils, kule kwa wasukuma wanayaita MATUYUYU [emoji1].
Mimi usinieleze habari za michuano isiyoeleweka eti SHIRIKISHO, njoo kulw kiumeni tupambane ili ujue ukubwa wa hiyo robo unayoiponda hapa.
Watanzania wengi hatufahamu mchezo wa soka, na ikiwa tunafahamu basi tunaingiza siasa ndani yake. Hivyo kiuhalisia tunakwama.Hakika wewe ndiye shabiki pekee wa simba ambaye haupo kwenye lile kundi lililoitwa mbumbumbu na mwenyekiti mstaafu.
Ngoja nikuweke wazi pengine hukupata bahati ya kusoma nilichokiandika kwenye uzi fulani.Umepata nn msimu huu , hebu ongeza sauti kwanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Ingekuwa hivyo mbona hata hii Hasara ya ya ndege ya Mama tusingeipata...!Fainali iwe mechi moja
Hoja yangu ni huru sana sababu mm si uto ila nimewaheshimu kwa kufa kiume.Mkuu najua umetamani kusiwe na fainali ya home and away kwa sababu umeshinda mechi ya pili lakini haukuchukua kombe.
Ungeshinda Leo huko huko kwa idadi ya magoli ya kukuwezesha kuchukua kombe nadhani wala usingeandika ulichoandika.
Sasa hebu jiulize hivi, mechi ile ya kwanza kati ya yanga na usma iliyochezwa Dar ndo Ingekua mechi moja pekee na ya mwisho kwa matokeo yale,ungejisikiaje?
Kwa Mkapa ilikua Usma 2 - 1 Yanga.
Kwa matokeo hayo yange ndo ilishashindwa kuchukua kombe pia .
kama kusingekua na mechi ya pili nadhani ungetamani kuwe na mchezo wa marudiano.
Kumbuka hii mechi ya Leo ndio imekupa nafasi ya kufunga goli moja bila.
Hata kwenye darasa la wajinga, wakawanza na wa pili hupatikana.Zilikuwa timu 32, zikabaki 16, zikabaki 8, kisha 4, kisha 2... Bahati ikawa kwa USMA kuwa Bingwa, lakini Yanga itabaki kuwa timu bora
Saaaaaanaaaaa yani sipendi Yanga ishinde.Una asili ya uchawi na roho mbaya, sali sana hilo pepo likutoke
timu tishio wapi ww? Umemuona nabi akilia lakini?Hakika historia imewekwa na Dunia nzima imeshuhudia na vizazi vinavyokuja vitakuta haya mliyoyafanya WACHEZAJI wote wa YANGA SC.
PONGEZI sana tena sana.
Nia tunayo, Naamini mshikamano huu ukiendelea basi hii itakuwa TIMU tishio AFRIKA.
Ahsanteni YANGA.
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Kama fainali Ingekua moja yanga bado wanheshindwa kuchukua kombe.Sheria za kijinga sana hizi ndo maana wenzetu waliondoa huu upuuzi.
Fainali iwe moja tu.
Africa aisee imekaa kipigaji sana aisee
Watulie sasa. Mwakani warudi kwenye uhalisia wao wa kuishia hatua za awali 🤣😂🤣Kombe lilikuwa linaenda kutiwa nuksi
Afadhali USM ALGER hawajatuangusha
Kwa hiyo unasemaje wewe thimbaaIfike hatua tuwe serious kama taifa gharama zilizotumiwa na serikali kwenye huu upupu tungekuwa na kituo cha afya kama si shule
Gongowazi mlipofikia saizi mnaweza mkamkodia mtu majambazi wamvamie wamuue.Don't be stupid big man
Simba kaishia robo kapewa 1.1bNa kwa kuongezea tu.
1. Diarra ndo man of the match
2. Mayele kachukua kiatu cha dhahabu
3. Billion 2.3 zipo mfukoni za kuchania nywele
Waseme wanataka nini, jinsi mtumbani au beli dukani!!!!