Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Mijitu ilifungwa Morocco ikaja na na kelele eti za "kufa kiume" kufa kiume wakati yaliloweshwa. 😅Hehehee..haloooooooo
Acha wapoze maumivu...kukosa vyote inaumaaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mijitu ilifungwa Morocco ikaja na na kelele eti za "kufa kiume" kufa kiume wakati yaliloweshwa. 😅Hehehee..haloooooooo
Acha wapoze maumivu...kukosa vyote inaumaaa..
Usitumie hisia..Tusibiri CAF wenye mpira wao Watoe Rankings za Vilabu Bora Afrika tuone klabu ipi ni Zaidi Afrika Mashariki na Kati baada ya Mashindano yote kuisha.!Bado itabaki kuwa YANGA ni timu bora afrika mashariki na kati..
We Jamaa huna akili... kama CAFCC ingekuwa si michuano ya maana, msingekaa napa kuomba Yanga asiwe Bingwa huku mkimsifu USMA na kufurahia ushindi wake... kama mashabiki wenyewe wa makolo mtaendelea kuwa na akili za hivi... mtaishiaga robo finali na kujiambia kwamba ninyi ni bora.... acheni ukolo, sio kila wakati mjitoe akiliHata kwenye darasa la wajinga, wakawanza na wa pili hupatikana.
Hatupaswi kuisifia Yanga kwa kuonekana nzuri miongoni mwa team za kijinga, kwanini hakuwa bora huku CAFCL?
[emoji23][emoji23]Aliyekutwa na mali ya wizi ndie mwizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani mwenzetu unatumia kiungo gani kufurahi?Leo nimefurahi xana utopolo kushindwa kubeba kombe
Hapo vipi?Mungu wa Yanga Mungu wa Isaka Mungu wa Yangaaaaa[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mijitu ilifungwa Morocco ikaja na na kelele eti za "kufa kiume" kufa kiume wakati yaliloweshwa. 😅
Njoo kiume muujue ugumu wa kufika hiyo robo fainali, makundi yenyewe tu una miaka 30.Shanga siji hatuzijui labda wanapewa wanao ishiaga robo ndio maana wewe unazijua mpaka zinapopatikana, inawezekana mpaka sasa mnazo pair nne maana robo mmeishia mara nne. Sisi tunazo zijua medali na leo tumeziona live wachezaji wakivaa.
Hii michuano unayoiita haieleweki, ndio iliyokufanya ubebe lundo la kuni na vibiriti ukaota moto katikati ya uwanja na ukapigwa faini ya dola elfu kwa kuharibu pitch ya watu South.
Uzuri kaka yako Yanga kaenda kukufutia aibu baada ya kulitia aibu taifa.
Haya yanga kakosa ubingwa wewe timu yako imechukua nini?. Au mnalazimisha furaha 😅Kutochukua kombe, it's a pain in ass kwa wengi wenu maana mlikuwa na kiranga sana.
Mimi sina shida zaidi ya kufurahi tu, sina baya.
Timu bora inacheza shirikisho na huko pia wanaishiaa kubwa loosers
Utakapokuja kuiona Yanga ipo kwenye nafasi ya 6 kwenye rank za CAF ndio utaelewa ubora wa Yanga na umuhimu wa CAFCCTimu bora inacheza shirikisho na huko pia wanaishiaa kubwa loosers
Mungu kakuepushia sononeko la moyoUto wakipata la 2 haki ya mama naoa single maza moja wa jeifu.
Kwani huku nilipo nishawahi kufika robo ,msimu huu nimefika robo na fanali nimefika.Msimu ujao? Kwani huu ilikuwaje ukatoka kule kiumeni licha ya kupangiwa ZALAN FC ambao hata safari ya kurudi kwao tu Sudan walitumia mwezi mmoja njiani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
walishapanga mipango ya kwenda CAF Super Cup na Club World Cup. Tuwaambie waende tu maana ile Dreamliner inafika popote duniani 🤣😂🤣Waache ujinga wao kama wamechoshwa na kero walale na sio kutupangia namna gani tushangilie
Simba ilitolewa humu kila mmoja aliona dhihaka zilizofanywa na mashabiki wa Gongowazi
Ikaenda hadi kwa uongozi wa Club ya Yanga eti wakaunda tamasha kwa ajili ya kuicheka Simba.
Watu hawa leo hii ndio wanaotaka kutuziba midomo.
Sheeeeenziiiiiiii
Uzuri hata nyinyi mlilowa viwili kabla ya hii mechi, najua kukosa kombe kumekutoa kumbukumbu yote[emoji23].Unakuta Kuna kijanaume nacho kinasimama kinashangilia USMA kuchukua kombe huku kimelowa kimoko [emoji28][emoji28], afu ukikiuliza haya USM amechukua vipi wewe una nini kwenye kabatini ni tobo tu.
July 5مسيويويننبنبنبنببنبنذننذوذوذويوKUFA KIUME FAINAL[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Kiume wapi unaishia robo, maana hata shirikisho unaishia robo ila Yanga fainali.Njoo kiume muujue ugumu wa kufika hiyo robo fainali, makundi yenyewe tu una miaka 30.