FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

Wanajifariji [emoji471][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
KUFA KIUME [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
uunganishe namungo na naenda fc uite chalinze fc... kisha useme timu ni ileile...?? Huoni kama kimevaliwa kitu kingine kabisa..??
Unatumia nguvu nyingi. Kama Simba ishawahi kufika fainali ni imefika. Majina yanabadilika tu.
 
uunganishe namungo na naenda fc uite chalinze fc... kisha useme timu ni ileile...?? Huoni kama kimevaliwa kitu kingine kabisa..??
Sasa umechukua hilo kombee?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unabwataa na kwapa hujanyanyua Lol
 
Unakuta Kuna kijanaume nacho kinasimama kinashangilia USMA kuchukua kombe huku kimelowa kimoko 😅😅, afu ukikiuliza haya USM amechukua vipi wewe una nini kwenye kabatini ni tobo tu.
Ichomoe hiyo, ikikusumbua sana
Imelooaaa
 
Am finee baba tamuuu,[emoji8][emoji8][emoji8]
Mwenzio leo nna furaha mnoo, man city kachukua ubingwa FA, na USMA kachukua CAFCC
Wewe shida yako huna mtu wa kukupelekea moto...🔥🔥🔥
Em come PM..
 
Habarini za Leo..Binafs sina ninachowadai wachezaji wa yanga benchi la ufundi na viongozi wa yanga...hapa tulipoishia ni kwa uwezo wa Mungu Wachezaji na viongozi wa Yanga..

Tujipange kwa msimu ujao, naamini tutakuwa bora sana kuliko msimu huu,

Yanga ni timu Bora sana Africa, Yanga imeonyesha ukubwa wake jinsi ya kumpiga mwarabu kwao mifupa uliwashindwa timu nyingi na hawa ndugu zetu Makolo, najua dhihaka imekuwa kubwa toka kwa hawa ndugu zetu waliofeli, tunajua nguvu ya dhihaka zao zinatoka na msongo wa mawazo baada ya kuona tuna timu Bora sana.

Ndugu zangu pigeni mkono kufuni na kusema sisi ni washindi.
 
Hongera Utopolo mmepambana
 
Hongera Kwa kuchukua kombe la kuonyesha ukubwa
 
Unadhani utapata tena hii bahati ya akina Marumo. Thubutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…