Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
Kipindi cha pili zinaigwa goli 2 za fastaaaweka akiba wewe
Mchezo kwisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi cha pili zinaigwa goli 2 za fastaaaweka akiba wewe
Unatype kiarabu hovyo ilimradi umebofya herufi tu hakuna unachojua hapo , angalia kijana utanikuta unajitukana bila kujua.
Muhame nchi kabisaUto akishinda hiki kikombe tutafute pa kujificha dadeki
Sawa sawa mkuu kobo [emoji23][emoji1787][emoji106]Hakika inafana sana
Sawa.Siyo leo tu, nimekuwa nawaita hivyo kitambo. Wanashika nafasi ya 8 kwenye ligi yao.
Na iwe hivyo...Ashapoteza atapoteza mala ngapi
Mkuu yani kitendo cha Diarra kudaka ule mpira wala nisiwe mnafiki😄😄😄 We jamaa unaroga
Leo utakufwa bablaiNi muda wa kuingia makabi lipepo Junior مسيويويوريوطرطرطرطريرتطريرطرطرتوننHABIB HABIB THALATHA BIN THIFULI [emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Mashabiki huwa hamueleweki, last week mlilaumu sana Lomalisa kutokea benchi mkadai hii game hatakiwi kukosa, hamkujua kuwa ni uchochoro?Huyu mwamba wakiendelea kumuacha basi kipindi cha pili tujiandae tu kwa maumivu. Maana upande wake leo ndiyo umegeuka kuwa uchochoro wa hao jamaa.
Mie nawapa tahadhari tu, haina haja ya kushangilia mpaka makoo yawaume kisha mkose kombe.
[emoji23]
Tulia wewe tuwafinya humu kama tulivyowakanda april 16Muhame nchi kabisa
Endeleeni kuomba mabaya
Aiseeeh, kikombe hiki kituepuke.Huku mtaani vitoga washaanza kupuliza mavuvuzela.
Hapo ni halftime
Wakichukua kombe hali itakuwaje?
[emoji23][emoji23]Mkuu yani kitendo cha Diarra kudaka ule mpira wala nisiwe mnafiki
Yani roho imeniuma kama ngozi ya govi imebanwa na zipu
Kama ni mwanaume nadhani umenielewa
sawa mwamuziKipindi cha pili zinaigwa goli 2 za fastaaa
Mchezo kwisha
Mmoja kati yao atatoa pasi ya goli, kudondoshwa kwa musonda ndio kulikosaidia kupatikana kwa penalt... ni mpango piaUkitoa lile goli sijaona mpango wowote wa kuongeza goli lingine. Mayele na Musonda wapo dunia ya peke yao.
Ni swala la muda tu مسنيطننطنينيننHABIB HABIB