Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeeh nchi imepona[emoji23]Sasa hapa naweza nikala msosi sasa
[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Tungeweka wapi sura zetuYaani Simba ahangaike miaka yote, nyie mje na fluku mchukue tu kirahisi rahisi?
Unamfahamu mfungaji bora wa mashindano lakini? Au kwako wewe umefurahia tu Yanga kukosa ubingwa!!Sawa kama Hicho Ndio mlicho kuwa mnakitafuta
Yeah, mwakani mtolewe CAFCL hatua za awali kama kawaida yenu ili mje huku.Sio mbaya mwakani tena.
Kuna kombe la kushinda kwao?Tumeshinda kwao inatosha
Na njaaTayari huko tumeshinda
Kushinda na kupoteza ni sehemu ya mchezo, hata Real Madrid walipigwa 4 kwa 0 na Man CityNdiyo swali gani hili!! Kwani kwenye hii mechi unaona tumeshinda, au tumepoteza!!
KUFA KIUME sio?[emoji23][emoji23][emoji23]Ukisikia kufa kiume sasa ndiyo huku. Yaani bingwa anachukua kikombe, huku akiwa amegongwa mbele ya mashabiki wake lukuki.
Sasa hapa ni naweza kula maandazi yangu vizuri kabsa