ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kibu apewe UlinziIle bunduki ya Kibu ni Noma..
Ilikuwa suala la muda tu.Gamondi ni mjanja sana yaani katulia tuli akiwachora tu waliomtimua kisha wakaishia makundi.
Inabidi wamsajili ndio atatuliaBado ugomvi wa kibu denis na waarabu haujaisha #UBAYAUBWELA
Labda mahaba na mama J ila na Yanga aweeee mbona wewoooWee ngoja upate akili, utajikuta unaanza mahaba na Yanga.
Wanasonya sana 😃😃😃Yanga wengi hawana usingizi
Vinywaji changamshi hivi😁😁Hakuna timu nzuri kama Yanga. Ukiwa na kichwa timamu lazima uishabikie Yanga. Sijui nikuelezeaje hii Yanga uwiii. Hilo litimu lenu madunduka silipendi sijui nalionaje. Hata wachezaji hawaeleweki, njoo kwa masbabiki sasa 🤭🤭🤭🤭🤭
Wanasimba hatuhusiki Yanga kupangwa kwenye lile kundi lenu . Unatuchukia bure tu.Hakuna timu nzuri kama Yanga. Ukiwa na kichwa timamu lazima uishabikie Yanga. Sijui nikuelezeaje hii Yanga uwiii. Hilo litimu lenu madunduka silipendi sijui nalionaje. Hata wachezaji hawaeleweki, njoo kwa masbabiki sasa 🤭🤭🤭🤭🤭
💪🏿💪🏿💪🏿💥💥💥💥👌🏿Simba Sports Clubs
One Team, One Dream
N G U V U M O J A
K I L A. L A. H E R I
HahahaZa Horoya?
Waarabu wakicheza wenyewe kwa wenyewe matokeo hayatabiriki. Hawa siyo wabovuHuyu nusu hawezi kufika. Kuna mijitu kule
Angelogwa adakeee asingerudi AlgeriaKibu anapaswa aape mahakamani na kuahidi kutorudia kutoa adhabu kali kwa makipa wa timu kinzani. Ule ni uuaji kamili.
Niliona wanatamba tuu mtaaani...hahahaAhsante dear, afu mashabiki wao walikua vifua wazi nikatamani kuwatandika ngumi za tumbo😀😀