FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

Mi huwa sielewi hii CAF ipo Kwa ajili ya kuadhibu weusi kusini mwa Jangwa la Sahara au ni Afrika nzima? Tangu Mechi imeanza Hadi inaisha vitochi vya rangi zote mara nyekundu, mara kijani?
Kabisa yani hawa majamaa wana Ego sana

Kwenye faini ya 80M waliyopipishwa Yanga walidai moja ya kosa ni kutumia vitochi lakini mechi zote za wenzetu huko vitochi tinaviona kila siku.

Sasa nashindwa kuelewa ni kwamba hizo Club zinalipishwa faini ila ni sisi tu hatujui au ndio hivyo mkubwa hapigwi anaelekezwa?
 
Waarabu wakija huku bongo wanatafuta droo ya kila hali kujiangusha sana kuumia ovyo kipa kulala .. mradi muda uende wapate droo so yanga ana kazi kubwa sana kwa waarabu kuwatoa.
 
Waarabu wakija huku bongo wanatafuta droo ya kila hali kujiangusha sana kuumia ovyo kipa kulala .. mradi muda uende wapate droo so yanga ana kazi kubwa sana kwa waarabu kuwatoa.
Bado hao waarabu wanaweza kupata droo Kwa mkapa (japo ni ngumu Sana) na wakafa kwao...
Waarabu hua tuna wa overate tu lakini kiuhalisia hamna kitu hata Simba bila kutishwa Sana na wachambuzi uchwara amini wydad Casablanca bado angepigwa huko huko kwake kila mtu aliona...
 
Wameona mpira wa USM waliopiga ushindi wao una worth kukaa live kwa masaa mengi
Kama hivyo basi Yanga inastahili mechi zao zote msimu huu kasoro dhidi ya Madundukaz kuwa live.
 
Neno KoloWizard lina uhusiano na sababu chunguza kwa makini.
Hapana msituongezee majina ambayo huko nyuma hatukukubaliana

Jina rasmi ni Kolo, hilo la mbele lilipitishwa kwenye kikao gani?

Mbona sisi tunawaita Uto kistaarabu mpaka mnapenda kwanini sisi mtufanyie hivi?
 
Back
Top Bottom