FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

Mimi nafanya utani, ila deep down nilitamani sana hivi vilabu vyetu vifike final na kybeba ndoo.
Kwa Simba kushiriki Super Cup no hard feelings kwa kweli. Kwanza tunatakiwa kuwa on top then ushindani wetu uendelee.
Mimi nawajua mashabiki wenye kuleta mabishano kwa upinzani kupitia utani.

They never held grudges on their souls and that's how utani is.

Na kuna lile kundi la kuchukua utani kama kitu personal unakuta mtu anakufurumushia mitusi mpaka unashangaa imekuwaje
 
Mimi nawajua mashabiki wenye kuleta mabishano kwa upinzani kupitia utani.

They never held grudges on their souls and that's how utani is.

Na kuna lile kundi la kuchukua utani kama kitu personal unakuta mtu anakufurumushia mitusi mpaka unashangaa imekuwaje
Huwa ndiyo utani, utani hautakiwa kuwa au kujenga misingi ya chuki bali misingi ya kupeana changamoto na kutiana ndimu ili kuchangamka na kufanya vyema.

Zamani ilikua Mtani anaposhinda, basi gharama anabeba huyo aliyeshinda, atamnyesha bia/soda atamnunulia chakula ila anahakikisha chakula kunapakuliwa kwenye chombo chenye rangi za aliyeshinda, atanunuliwa mchele llna nyama lakini vinawekwa kwenye rambo yenye rangi za mtani aliyeshinda, wakati wote huo anayetaniwa yaani aliyeshindwa anatakiwa kufuata amri tu bila kubisha.

Utani used to be real funny aisee
 
Cha Club bingwa lini mtakitia moto?

Au njiti zimewaishia?
Hii aibu mliitia kwenye robo ya conf cup last year tena hapo hapo south na mkafungwa,hata kichaka cha robo klabu bingwa next season tunakitia moto Inshallah kwa usajili ambao tunaoendelea kuufanya mpaka sasa tushasajili 2 top players wa huko wanakotoka
 

Attachments

  • VID-20230518-WA0002.mp4
    4 MB
USM Alger tunawafunga sana, hili kombe la Yanga mwaka huu, Tanzania inaenda kuwa mabingwa, nimecheki records za USM Alger na matches zao tokea robo, hawatishi kabisa, Marumo Gallants walishawafunga hawa USM Alger mwaka huu
 
Vitochi ni vingi sana sijaelewa na mimi
Mi huwa sielewi hii CAF ipo Kwa ajili ya kuadhibu weusi kusini mwa Jangwa la Sahara au ni Afrika nzima? Tangu Mechi imeanza Hadi inaisha vitochi vya rangi zote mara nyekundu, mara kijani?
 
Back
Top Bottom