Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
At least Azam wamepata washabiki humumatajiri wa chamanzi, wamepata code za mechi za KIMATAIFA, watakiwasha na mabingwa APR ya Rwanda . kwenye cafcl preliminary round.
azam fc wanakikosi EXPENSIVE africa mashabiki na kati.
# TUMEIPATA CODE!!
View attachment 3073081
Alikuwa anatumia ngeli ili isiwe rahisi kujulikana maumivu aliyonayo kwa jinsi Yanga inavyofanya vizuri. Ni shabiki wa Simba aliyepanga kuwavuruga Yanga ila baada mpango kugoma na Simba yake bado inajitafuta, ndipo akatangaza kuhamia Azam rasmi.Kumbe huyu Jamaa anajua kiswahili me nikajua ni mkenya maana kwenye kuichambua yanga waga anashuka ngeli2
wakenya wote wanajua swahiliKumbe huyu Jamaa anajua kiswahili me nikajua ni mkenya maana kwenye kuichambua yanga waga anashuka ngeli2
Ni muha yuko UD second yearKumbe huyu Jamaa anajua kiswahili me nikajua ni mkenya maana kwenye kuichambua yanga waga anashuka ngeli2
Hicho kiingilio ni himilivuAzam wameachana na utaratibu wa Bure wameanza kuweka kiingilio tena kikubwa ngoja tuone kama watatoboa
Kumbe! Me nikajua ni mtu flani hivi mwenye status na exposure kubwa kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo na sports,kumbe Bado tuko safari mojaNi muha yuko UD second year
Wanajua ndio lakini kwenye maongezi mostly they prefer Englishwakenya wote wanajua swahili
sio kweli, 😂😂Kumbe! Me nikajua ni mtu flani hivi mwenye status na exposure kubwa kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo na sports,kumbe Bado tuko safari moja
Coastal couldn't coordinate 5 passes waste of spacenawatakia mchezo wenye mafanikio kwao, hv coastal walipigwa ngap maana niliacha kashapigwa 3 mtungi.
Wewe badala ya kuchambua mechi inachambua mleta mada. Uto vepe nyieAlikuwa anatumia ngeli ili isiwe rahisi kujulikana maumivu aliyonayo kwa jinsi Yanga inavyofanya vizuri. Ni shabiki wa Simba aliyepanga kuwavuruga Yanga ila baada mpango kugoma na Simba yake bado inajitafuta, ndipo akatangaza kuhamia Azam rasmi.
🤣🤣🤣Wewe badala ya kuchambua mechi inachambua mleta mada. Uto vepe nyie
Anatembelea google sanaKumbe! Me nikajua ni mtu flani hivi mwenye status na exposure kubwa kuhusu mambo mbalimbali ikiwemo na sports,kumbe Bado tuko safari moja