vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Ndio code waliyokuwa wanaisemea hiyoJitihada za refa niliziona tangu mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio code waliyokuwa wanaisemea hiyoJitihada za refa niliziona tangu mwanzo
SureFei katumia akili,lile tuta halali beki kaja hovyo hovyo mwenyewe.
Yanga ni underdog kwa AzamAzam wanachojua ni kukamia Yanga
Na timu gani?! Usije ukaniambia AzamApr anachezewa nusu uwanja.
Azam wamevaa viatu vikubwa kwaoYaani hawa Azam wangepata goli lingine moja wangekuwa na uhakika kwa asilimia zaidi ya sabini kufuzu round ya pili.Ila wakiishia hivi na goli moja watakuwa na hali mbaya Kigali.