Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Wydad anamalizwa leo hii na mafarao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona pia sijui pale ni wapiNilikuwa naangalia highlights za mechi ya under 17 kama sikosei DSTV walirusha baada ya halftime
Ilikuwa ni Brazil dhidi ya Tunisia, uwanja ni mbovu kishenzi yani uke wa Ihefu ni bora kuliko huu
Jana walioharibu mechi mashabiki kuwasha ule moshiMechi ya Leo ni mbovu Bora Jana , mchezo Leo hauvutii kabisa
Hamna kituLala hapa hamna penati za dusko ni full msako mpaka unafungwa
Hapa Al ahly anaongoza na yupo kwao,kwanini warushiane mipira minne minne? Hapo anataka aongeze magoli coz hii sio game ya mwisho.Waarabu kwa waarabu hawarushiani mipira minne minne...shida wakicheza na sisi manyani...