Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mchezo huu ni wa Nusu Fainali ya pili baina ya timu hizo katika Ligi ya Mabingwa Afrika, unapigwa Nchini Afrika Kusini baada ya awali kumalizika kwa suluhu ya 0-0 Nchini Morocco.
Mchezo umeanza
20' Mamelodi Sundowns wanafanya mashambulizi kadhaa, wageni nao wanajibu lakini bado hakuna umakini langoni
Kumbuka kuwa timu itakayofanikiwa kusonga mbele itakutana na Al Ahly katika mchezo wa Fainali itakayofanyika mwezi ujao
45' Mapumziko hakuna timu iliyopata goli
Kipindi cha pili kimeanza
Goooooooooooooo
50' Themba Zwane anafunga goli baada ya wachezaji wa Wydad kujichanganya
Kipa alirusha mpira uliombabatiza beki wake, jamaa wakatumia fursa
53' Mamelodi wanaongeza presha kubwa kutafuta goli la pili
65' Wydad wanafanya shambulizi kali lakini mpira unaokolewa na kuwa kona
69' Kasi ya mchezo imepungua kiasi fulani hasa baada ya wenyeji kupata goli
70' Wydad wanafanya shambulizi lingine kali, mashuti mawili yanaokolewa inakuwa kona
GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Ni kama ilikuwa linakuja kutokana na wenyeji kuruhusu kushambuliwa mara kwa mara
72' Ayoub El Amloud anawapatia goli wageni, matokeo ni 1-1
79' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Peter Shalulile anafunga goli la pili kwa Mamelodi
83' Gooooooooooooooooo
Mothobi Mvala anajifunga kwa kichwa wakati akitaka kuokoa mpira wa faulo
FULL TIME
Wydad imesonga mbele kwa faida ya goli la ugenini baada ya awali timu hizo kutoka 0-0 Nchini Morocco.
Mchezo umeanza
20' Mamelodi Sundowns wanafanya mashambulizi kadhaa, wageni nao wanajibu lakini bado hakuna umakini langoni
Kumbuka kuwa timu itakayofanikiwa kusonga mbele itakutana na Al Ahly katika mchezo wa Fainali itakayofanyika mwezi ujao
45' Mapumziko hakuna timu iliyopata goli
Kipindi cha pili kimeanza
Goooooooooooooo
50' Themba Zwane anafunga goli baada ya wachezaji wa Wydad kujichanganya
Kipa alirusha mpira uliombabatiza beki wake, jamaa wakatumia fursa
53' Mamelodi wanaongeza presha kubwa kutafuta goli la pili
65' Wydad wanafanya shambulizi kali lakini mpira unaokolewa na kuwa kona
69' Kasi ya mchezo imepungua kiasi fulani hasa baada ya wenyeji kupata goli
70' Wydad wanafanya shambulizi lingine kali, mashuti mawili yanaokolewa inakuwa kona
GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Ni kama ilikuwa linakuja kutokana na wenyeji kuruhusu kushambuliwa mara kwa mara
72' Ayoub El Amloud anawapatia goli wageni, matokeo ni 1-1
79' GOOOOOOOOOOOOOOOOO
Peter Shalulile anafunga goli la pili kwa Mamelodi
83' Gooooooooooooooooo
Mothobi Mvala anajifunga kwa kichwa wakati akitaka kuokoa mpira wa faulo
FULL TIME
Wydad imesonga mbele kwa faida ya goli la ugenini baada ya awali timu hizo kutoka 0-0 Nchini Morocco.