FT: CAFCL: Mamelodi Sundowns 2-2 Wydad Casablanca | Live Updates | Mei 20, 2023

Andika vizuri wewe, KOCHA aliyeibeba barca ndio kocha gani wewe?
 
Ulaya nao walianzia Ivo Ivo ambacho bado tunakifanya sisi
 
Ulaya nao walianzia Ivo Ivo ambacho bado tunakifanya sisi
Sheria nyingi na kanuni za mpira tzinaanzia huko ulaya sisi tunafuata sasa kwenye hili wameshindwa nn kuoga ulaya kama wenye mpira wao waliona hizo Sheria ni mbovu?

Hii inaonyesha bado tuko nyuma sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…