Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
Hatuna kitu kigeni hapo kwa Simba..unataka mshawasha wa nini?hii mechi imepoa bariiiidi kitokana na vibe la jana hakuna mwenye mshawasha wa mechi ya leo
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Ndo wajue kuna ugumu wa kuingia makundi.Hongera Yanga, kwani asilimia 10 tu ya watazamaji waliokua Chamaz jana ndio walioiona Yanga ikiingia hatua ya Makundi klabu bingwa ya Afrika mara ya mwisho, na 90% ndio mara ya kwanza kuiona Yanga ikiingia hatua ya makundi na hii ni baada ya miaka 25 kupita! Kwa mantiki hiyo kuna mtu alizaliwa hadi kuwa na familia ndio anaiona Yanga ikiingia hatua ya makundi. [emoji120][emoji120]
SIMBA 3-1 mark this postHaya Sasa, Siku tuliokuwa tunaisubiria kwa hamu imetimia, Leo Tarehe 01/10/2023.
Mtanange wa Round ya Pili kuwania kuingia Makundi ya Club Bingwa Afrika.
Simba SC ya Tanzania dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.
Mtanange huu utaanza majira ya saa 10 Jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Ikumbukwe Mechi ya Round ya kwanza kule Zambia kwenye dimba la Levy Mwanawasa timu hizi zilitoka sare ya 2-2.
Mpambano wa leo utaamua atakayeingia Makundi.
Je, ni Simba kama kawaida yetu?
Tukutane hapa kwa updates zaidi.
Unyama mwingi.
#nguvumoja#
SIMBA 3-1 mark this postMnapigwa leo, bora ulale tu, baadae ujiandae na ibada.
Nenda Simba , Nenda Sisi Zetu Dua .Haya Sasa, Siku tuliokuwa tunaisubiria kwa hamu imetimia, Leo Tarehe 01/10/2023.
Mtanange wa Round ya Pili kuwania kuingia Makundi ya Club Bingwa Afrika.
Simba SC ya Tanzania dhidi ya Power Dynamos ya Zambia.
Mtanange huu utaanza majira ya saa 10 Jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Ikumbukwe Mechi ya Round ya kwanza kule Zambia kwenye dimba la Levy Mwanawasa timu hizi zilitoka sare ya 2-2.
Mpambano wa leo utaamua atakayeingia Makundi.
Je, ni Simba kama kawaida yetu?
Tukutane hapa kwa updates zaidi.
Unyama mwingi.
#nguvumoja#