Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Simba,ila bado sana hii timu.Mnyama amechaza mpira mbovu sana
Wazo kma la kwangu kabisaDaah Super League tutatoboa kweli?
AhàaaaaaaaSimba kwa huuhuu mpira tutaitoa Al Ahly na CL tutafika robo fainali kama kawaida.
Kwani alizimika?Mtani mtzedi uheme sasa. Lol
Kocha maneno mengi sana kazi mbovuSimba ndani ya champion league tujipange Sasa.
Hivi ni formula kwamba kipindi cha kwanza ucheze hovyo na ufungwe halafu ndio uje cha pili ufufuke?
Watu wa uto kwa kuvamua tuthread za Mnyama hawajambo. Mtu unawexa dhani Hawa wote waokosoa Simba ni mashabiki wa Mnyama kumbe wengi wao ni wa utopolo tu.Chupu chupu sema hii ni aibu ina enda makundi