Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Sio mtabiri Ila kwa kocha kuwapanga kibu na Saido kwa pamoja ni kuua timu wanakuwa mzigo kwa wenzao. Ushindi ni kama hakuna kbs na naomba tufungwe huyu kocha aondoke mjinga hii timu si yake yetu.
Kocha huyu akifukuzwa Leo yanga asahau ubingwa na hatutakuwa na mpinzaniHaya ndo maisha yetu, tupo nyumbani.
Azam jambo la uchukuaji picha bado ni changamoto.