Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna sehemu viongozi wamefeli kwenye usajili timu haina mabeki kabisa aisee ni hatari sana ikatokea tumetolewa watatujibu hawa watu!!!
Nakazia Nakazia, unyama mwingi utaoneshwa leoHii ndio mechi sasa sio wale pwagu na pwaguzi waliocheza jana.
FT. SIMBA SC 3 VS 0 POWER DYNAMOS.
KILA LA KHERI SIMBA.
Unateseka ukiwa wapi Uto?hii mechi imepoa bariiiidi kitokana na vibe la jana hakuna mwenye mshawasha wa mechi ya leo
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Unyama mwingi upo pale pale hata kama mmakonde hachezi , don't worry guyMicquison 🤷
Bro umeua watupa makombora mochwari 😂😂Tofauti ni kwamba, tunacheza na timu iliyo kamilika wale wenzetu walicheza na wakimbizi
Wanakataa ila moyoni ukweli wana ujuaBro umeua watupa makombora mochwari [emoji23][emoji23]
Huna akili.Tofauti ni kwamba, tunacheza na timu iliyo kamilika wale wenzetu walicheza na wakimbizi
Unawashwa washwa ukiwa mtaa gani sis?Utabili, Simba 0 - 1 Power Dynamo.
Siku zote wajinga huwa wabishi sanaWanakataa ila moyoni ukweli wana ujua
Unajua kuruka viunzi babu 😂Mimi ni Mwafrika. Hivyo naitakia ushindi timu itakayo cheza vizuri.