Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
utakuwa QB hapo
Nilikuwa CRDB, kwa nyuma huko kuna banda umiza nyumbani kwa shemeji yake Polepole balozi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuwa QB hapo
Mmepita kikanuni au sio? [emoji3]Hii ndio Mechi Sasa....! Sio watu Wanacheza na Wakimbizi halafu wanawafunga 1 tu
Tupe tuone waliposema.Imekuwaje tena, si walisema Utopolo imewapa mbinu?
Bali?Hapana.
Mimi mtetezi namba moja wa Robertinho lakini hapa nakiri uwezo umeishia hapo. Timu irudi kwa Mgunda tupate kocha serious zaidi!
Binafsi nilitegemea changes kubwa mno leo lakini imekuwa worse. Its enough, uvumilivu unatosha.
Pole Mkuu, maumivu uliyonayo yanajidhihirishaChupu chupu sema hii ni aibu ina enda makundi
Ila yenu mliovuka kikanuni ndo mnayo miguu? ... mmevuka bila kushinda game hata moja. [emoji3]Kati ya Simba na nani?
Gongowazi???
You gotta be kidding!!! Wachezaji wenu hawana miguu ya kuwafikisha robo Club Bingwa.
Hongera Simba.
Ooh! Yabidi uongozi wenu ulitizame na hili.Ukiona familia inaparaganyika tunamuuliza baba kwanza!
Tuaibike kivipi ofsa?Ili mkaaibike huko..😂
Watakuambia Yanga haina forward wakati forward zetu zimefunga nyumbani na ugeniniIla yenu mliovuka kikanuni ndo mnayo miguu? ... mmevuka bila kushinda game hata moja. [emoji3]
Mawazo ya fukara.Kwahiyo Mgunda auliwe au
NiliIsha toa ushauri kwa Klabu yangu simba
1. Golikipa Hakuna ALIENDA Tabora.
2. Beki wa kati Hakuna.
3. Kiungo Mkabaji No 6 hakuna.
4. Mshambuliaji MBADALA WA Baleke hakuna
Ni kweli hatuna furaha. Tungefurahi kuifunga Dynamos 5-0 kama tunavyoifunga YangaMakolo wamefuzu ila hawana furaha.
Kuzidiwa kila kitu kivipi? Huwa unafuatilia mpira kweli ama wewe ni shabiki andazi?Mpira kuna wakati uko kama bahati nasibu mkuu.
Mfano mzuri leo tena simba walizidiwa kila kitu, hadi wamesaidiwa kufunga.
Niamini ipo siku watakutana fainali
Tunahitaji mtu mwenye mipango inayofanana na uwakilishi wa simba kwenye michuano ya soka la Africa.Mimi mtetezi namba moja wa Robertinho lakini hapa nakiri uwezo umeishia hapo. Timu irudi kwa Mgunda tupate kocha serious zaidi!
Binafsi nilitegemea changes kubwa mno leo lakini imekuwa worse. Its enough, uvumilivu unatosha.
Mmefuzu kwa kushinda game ipi mzee? ...Ni kweli hatuna furaha. Tungefurahi kuifunga Dynamos 5-0 kama tunavyoifunga Yanga
Ila imepenyaKwa mbinde.
Ndio hivyo hivi kwanini mchezaji mzuri kama Kibwana hapangwi Tena kikosi cha kwanza?Ooh! Yabidi uongozi wenu ulitizame na hili.