FT: CAFCL: Wydad AC 0 Vs 0 Mamelodi | Stade Mohammed V | Mei 13, 2023

FT: CAFCL: Wydad AC 0 Vs 0 Mamelodi | Stade Mohammed V | Mei 13, 2023

Kulinganisha Simba inayoishiaga robo fainal na Mamelody ambao wamekuwa wakibeba hili kombe inahitaji uchizi flan hivi

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwa misimu minne mfululizo Mamelod wamekuwa wakiishia robo fainali kama Simba ni msimu huu pekee ndiyo wamefika Semi final.

Msimu uliopita walitolewa na Petro De Luanda QF.

Msimu wa 2021 QF walitolewa na Al Ahly

Msimu wa 2020 walitolewa na Al Ahly pia.
 
Wamekutana hatua Gani mkuu??? Al ahly anafungwa na Simba Al ahly anafungwa na Al hilal Al ahly anafungwa na esperance kwenye makundi syo finally Mzee Yule mbwa Hana masihara anapoona kombe na mamelod sundowns akikosa hili kombe inatakiwa ajutie mwenyewe Kwa Nini alimbania Al hilal??
Mbna naona kabisaa Mamelod kakosa hili kombe, maana figisu za kadi nyekundu holela zishaanza muandamaa. Inaumiza mnoooo
 
Uliwahi kuwasikia wakijitofautisha au kujinasubu? Mbona nchi zao wamejaa tele waeusi na wanaishi kwa pamoja bila kuingiza ubaguzi!!, ukweli usio pingika wao ni waarabu na wewe ni mwafrika, sasa unalazimisha wajiite waafrika ilhali ni waarabu! ALEYOMBA GEKKE mayahudi yajiite waarabu kwakua wanaishi middle east? Hapa sioni shida wao kujiita waarabu kwakua ni waarabu


Hapo sawa
Hilo swala mbona lipo open sana wala halihitaji mjadala.

Fainali za kombe la dunia uliwasikia kauli uao walipoingia robo fainali hadi baadaye wakajakuomba msamaha?

Wao ni waarabu hatukatai, ila wao hawaishii kusema ni waarabu tu. Wanadai wao ni waarabu wakipinga kuwa wao sio waafrika.

Sasa hiyo inakupa tafsiri gani?
 
Hilo swala mbona lipo open sana wala halihitaji mjadala.

Fainali za kombe la dunia uliwasikia kauli uao walipoingia robo fainali hadi baadaye wakajakuomba msamaha?

Wao ni waarabu hatukatai, ila wao hawaishii kusema ni waarabu tu. Wanadai wao ni waarabu wakipinga kuwa wao sio waafrika.

Sasa hiyo inakupa tafsiri gani?
Huyo jamaa anakupeleka kwenye angle anayotaka ili mbishane nadhani ungeachana nae kimsingi ukiweka Mamelody na Wydad Kila mtu atachagua kile anapenda na atakuwa na sababu zake na kwenye soka ni hizo sababu zinatufanya tupende mpira tushangilie bila kukoma Wala kuchoka
Race sio sana sababu maana tunawashabikia kina Benz boy Mo Salah n.k bila kujali
 
Hilo swala mbona lipo open sana wala halihitaji mjadala.

Fainali za kombe la dunia uliwasikia kauli uao walipoingia robo fainali hadi baadaye wakajakuomba msamaha?

Wao ni waarabu hatukatai, ila wao hawaishii kusema ni waarabu tu. Wanadai wao ni waarabu wakipinga kuwa wao sio waafrika.

Sasa hiyo inakupa tafsiri gani?

Kwa upande wangu wapo sahihi kujiita waarabu ikiwa kweli wametamka hivyo bila ubaya wowote, na wewe vile vile kujiita mwafrika bila ubaya wowote sioni kama kuna shida, pia akisema mtu mmoja ndio kujumuisha wote wamepinga!!! Kama aliongea kwa ubaya basi ni kosa, lakini aliomba msamaha, japo sijashuhudia hilo.

Na kama unadai wote wametamka
wakipinga kuwa wao sio waafrika, je! unaweza kutuwekea hata ka video nasi tukajionea mzee baba au commententor wangu
 
Mbna naona kabisaa Mamelod kakosa hili kombe, maana figisu za kadi nyekundu holela zishaanza muandamaa. Inaumiza mnoooo

Kwahiyo ulitaka wasipewe card hata kama walistahili!! Sometimes tuweke mahaba pembeni tujikite na uhalisia wenyewe, olenimala mwaniki??? Tena walipaswa wapewe 3 cards
 
Mbna naona kabisaa Mamelod kakosa hili kombe, maana figisu za kadi nyekundu holela zishaanza muandamaa. Inaumiza mnoooo
Figisu gani hizo? Kumkanyaga mwenzio ndio figisu!! Ingelikua ndio wydad amemkanyaga wa mamelodi ungekuja kulalamika hapa!!!


Penda usipenda al ahly anaondoka na mwali🏆 mchana kweupeeee
 
Hivi waarabu una undugu nao? Maana Tokea world cup ulikuwa upo na waarabu wakati kwenu usukumani unashindia michembe

Kushabikia timu mpaka uwe na undugu nao? Kwani hao wazulu ni ndugu zako mpaka uwashabikie?

Nasema hivi, al ahly anabeba huyu mwali upende usipende, japo mimi ni shabiki wa Wydad Casablanca
 
Kulinganisha Simba inayoishiaga robo fainal na Mamelody ambao wamekuwa wakibeba hili kombe inahitaji uchizi flan hivi

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu ...ni sawa nakulinganisha Timu iliyoishia Robo Fainali ya Champions League mara nne na Timu inayoishiaga " Hatua za awali ! Lazima uwe una mtindio wa Ubongo!
 
Upo sahihi mkuu ...ni sawa nakulinganisha Timu iliyoishia Robo Fainali ya Champions League mara nne na Timu inayoishiaga " Hatua za awali ! Lazima uwe una mtindio wa Ubongo!
Mtindio mkubwa zaidi wa akili ni kulinganisha timu inayoishia robo fainali kila mara na timu inayotafuta nafasi ya kuingia fainali.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mtindio mkubwa zaidi wa akili ni kulinganisha timu inayoishia robo fainali kila mara na timu inayotafuta nafasi ya kuingia fainali.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Na ukitaka kujua kichwani Kwa mtu Kuna maji au Ubongo ni ..tabia ya kulinganisha na kuweka katika mizani sawa vitu visivyofanana!
 
Back
Top Bottom