Mkuu tema mate chini uendelee kisubiri kipiho kutoka Kwa kibonde.Marumo.!Kwa mpira huu wa Wydad, Itoshe kusema Simba ilitolewa na timu mbovu sana. Na bado wakapongezana eti wamekufa kiume
, Kufungwa na timu mbovu kama hii ni usenge uliopitiliza![]()
Unasema moto wa kuchoma uwanjani au moto upi ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile ap
Kama ule unaopelekewaga na baba yoyoyoUnasema moto wa kuchoma uwanjani au moto upi ?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app