walikuyu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2018
- 934
- 1,981
Kabisa mkuu waarabu janja janja sanaHawa waydad walistahili wawe watazamaji kitambo,hawana mpira wowote
Ni ujanja ujanja tu
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu waarabu janja janja sanaHawa waydad walistahili wawe watazamaji kitambo,hawana mpira wowote
Ni ujanja ujanja tu
Jamaa wazuri. Walipewa red ila kama hawako pungufu.nimeona Masandawana wamepata red card bana lakini kama wametimia wanavyokimbiza mwizi men.
Mkuu refa tigo pesa yake imesoma tayari hakuna komenti hapoWydad kwisha habari yake..
Red card ya 1 walistahili Mamelodi..sina hakika ya 2.
Game ilikua wazi droo au Mamelodi ashinde.
Umeangalia mpira Mkuu?Mkuu refa tigo pesa yake imesoma tayari hakuna komenti hapo
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Simba yupi alie enda ku draw na Namungo kisha akala kichapo kwa Azam?Tangu Simba wapige mpira mkubwa pale Mohammed V, ulisababisha Wydad wahatibike kisaikolojia.
Saizi game yeyote wanayocheza kwao wamekuwa ni timu ambayo inazidiwa sana kwenye maeneo mengi.
Mamelody anastahili kabisa kuchukua hili kombe, ana kila sababu. Huyo Al Ahly angekuwa kwenye situation ya leo sidhani kama angecheza vizuri kama Mamelody.
Umeanza vizuri umemaliza hovyo.Simba niwazuri kuliko wydad sema simba waliwaogopa ndio kilichowatoa nahasa game ya taifa,Nabi angewatoa hawa
Hater bwana [emoji1][emoji1]Umeanza vizuri umemaliza hovyo.
Lini uliwahi kuona mbinu za Nabi dhidi ya timu kubwa?
Kama Al Hilal tu ambao walikuwa wanaanza kusuka timu kwa kufumua fumua kuanzia kikosi cha wachezaji wa ndani hadi technically bench lakini bado alishindwa kukaza upaja.
Sasa kwa Wydad angewezaje?
Simba wazuri ila msimu wa pili huu hawana hata kikombe cha mbuziUmeanza vizuri umemaliza hovyo.
Lini uliwahi kuona mbinu za Nabi dhidi ya timu kubwa?
Kama Al Hilal tu ambao walikuwa wanaanza kusuka timu kwa kufumua fumua kuanzia kikosi cha wachezaji wa ndani hadi technically bench lakini bado alishindwa kukaza upaja.
Sasa kwa Wydad angewezaje?
Wanatembezewa ban, Esperance Jana walikiona Cha mtemakuni uwanja ukiwa wazi mashabiki wamefungiwaHii game sijaona vitochi(laser), CAF wamezuia nini?
Unasema moto wa kuchoma uwanjani au moto upi ?Ni Mamelod pekee Katika.vidume vya sokaAfrika hakijapelekewa moto na Simba... Mwaka huu tunewakosa kidogoooo!
Yule aliewafunga 16 aprilSimba yupi alie enda ku draw na Namungo kisha akala kichapo kwa Azam?
Nabi alitolewa na Al Hilal huko kwa Wydad angefikaje ?Simba niwazuri kuliko wydad sema simba waliwaogopa ndio kilichowatoa nahasa game ya taifa,Nabi angewatoa hawa
Peleka timu yako uone kitakachokukutaKwa mpira huu wa Wydad, Itoshe kusema Simba ilitolewa na timu mbovu sana. Na bado wakapongezana eti wamekufa kiume[emoji23][emoji23], Kufungwa na timu mbovu kama hii ni usenge uliopitiliza