FT: CAFCL: Wydad AC 0 Vs 0 Mamelodi | Stade Mohammed V | Mei 13, 2023

FT: CAFCL: Wydad AC 0 Vs 0 Mamelodi | Stade Mohammed V | Mei 13, 2023

Tangu Simba wapige mpira mkubwa pale Mohammed V, ulisababisha Wydad wahatibike kisaikolojia.

Saizi game yeyote wanayocheza kwao wamekuwa ni timu ambayo inazidiwa sana kwenye maeneo mengi.

Mamelody anastahili kabisa kuchukua hili kombe, ana kila sababu. Huyo Al Ahly angekuwa kwenye situation ya leo sidhani kama angecheza vizuri kama Mamelody.
Simba yupi alie enda ku draw na Namungo kisha akala kichapo kwa Azam?
 
Simba niwazuri kuliko wydad sema simba waliwaogopa ndio kilichowatoa nahasa game ya taifa,Nabi angewatoa hawa
Umeanza vizuri umemaliza hovyo.

Lini uliwahi kuona mbinu za Nabi dhidi ya timu kubwa?

Kama Al Hilal tu ambao walikuwa wanaanza kusuka timu kwa kufumua fumua kuanzia kikosi cha wachezaji wa ndani hadi technically bench lakini bado alishindwa kukaza upaja.

Sasa kwa Wydad angewezaje?
 
Umeanza vizuri umemaliza hovyo.

Lini uliwahi kuona mbinu za Nabi dhidi ya timu kubwa?

Kama Al Hilal tu ambao walikuwa wanaanza kusuka timu kwa kufumua fumua kuanzia kikosi cha wachezaji wa ndani hadi technically bench lakini bado alishindwa kukaza upaja.

Sasa kwa Wydad angewezaje?
Hater bwana [emoji1][emoji1]
JamiiForums1156253787.jpg
 
Umeanza vizuri umemaliza hovyo.

Lini uliwahi kuona mbinu za Nabi dhidi ya timu kubwa?

Kama Al Hilal tu ambao walikuwa wanaanza kusuka timu kwa kufumua fumua kuanzia kikosi cha wachezaji wa ndani hadi technically bench lakini bado alishindwa kukaza upaja.

Sasa kwa Wydad angewezaje?
Simba wazuri ila msimu wa pili huu hawana hata kikombe cha mbuzi
 
Ni Mamelod pekee Katika.vidume vya sokaAfrika hakijapelekewa moto na Simba... Mwaka huu tunewakosa kidogoooo!
 
Mamelod ni team aseeeh, wachezaji pungufu wawili na bado wamekazaa, daaah hii hatari.
 
Kwa mpira huu wa Wydad, Itoshe kusema Simba ilitolewa na timu mbovu sana. Na bado wakapongezana eti wamekufa kiume[emoji23][emoji23], Kufungwa na timu mbovu kama hii ni usenge uliopitiliza
Peleka timu yako uone kitakachokukuta
 
Back
Top Bottom