Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Mwaka huu Mamelodi anachukuwa kombe
Labda waliibe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu Mamelodi anachukuwa kombe
Hata wangekula kadi 5 nyekundu wasingefungwaMamelodi walistahili kadi 3 nyekundu ila basi tu refa nae ni binadamu tu
Hata wangekula kadi 5 nyekundu wasingefungwa
nimeona Masandawana wamepata red card bana lakini kama wametimia wanavyokimbiza mwizi men.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Labda waliibe
Hao wamebakia historia kama SimbaHivi unawajua al ahly wewe? Sasa subiri tumuadhibu mamelodi wako
Sasa nakuelewa Scars ..kumbe mwalimu anakua na sababu zakeWale waliokuwa wanamshangaa Robertinho kwa tabia yake ya kuchelewa kufanya sub.
Angaliemi hii dakika ya 75 hakuna sub iliyofanyika.
Na hapo ilitegemewa pengine ndio angekuwa wakwanza kufanya sub kwasababu game plan yake ishakuwa ruined kwa kupungukiwa na mchezaji mmoja.
Lakini mpaka dakika hii Wydad kafanya sub nne huku Mamelody wakiwa vile vile kama walivyoingia.
Kalpana
Hii mechi Bado mbichi hakuna Timu Ina uhakika ni 50/50Mechi imeanza hapa muhamed 05 huku Wydad wakizidisha zaidi mashambulizi
Hao wamebakia historia kama Simba
Yaaaaani daaah hawa Wydad jamani ni zile dua walizopiga pale uwanjani ziliwasaidia...naumia nikikumbuka..
Mimi ni Mamelody toka nitoke.Ni commententor mzuri ila ana kautimu, ana kaumamelodi Scars, mtangazaji hatakiwi kuwa hivyo
Mimi ni Mamelody toka nitoke.
Kwanza kila mtanzania anasababu tele kusapoti Mamelody
Ukiachana na sisi tulivyo influence SA kupata uhuru ebu jaribu kuangalia tu mfanano wa jezi za Taifa Stars na Mamelody....huoni kuna kitu hapo, unadhani hiyo ni coincidence?
Sitaki lolote..kwani vipi?Inshallah wydad watashinda second ligue, wewe ulitakaje?
Sio rangi, kwanza waarabu wengi wanaji isolate wenyewe kujitofautisha na sisi kwa kujinasubu kuwa wao ni waarabu na sio waafrika.Kuna sababu gani zaidi ya rangi!! Au sio kweli? Na yale mauwaji ya wafanyabiashara wa nje kuuawa na wasauzi kama sikosei hata wabongo liliwakuta hilo,
Haya niambie sababu za kutowashabikia wakaskazini!!
Uliwahi kuwasikia wakijitofautisha au kujinasubu? Mbona nchi zao wamejaa tele waeusi na wanaishi kwa pamoja bila kuingiza ubaguzi!!, ukweli usio pingika wao ni waarabu na wewe ni mwafrika, sasa unalazimisha wajiite waafrika ilhali ni waarabu! ALEYOMBA GEKKE mayahudi yajiite waarabu kwakua wanaishi middle east? Hapa sioni shida wao kujiita waarabu kwakua ni waarabuSio rangi, kwanza waarabu wengi wanaji isolate wenyewe kujitofautisha na sisi kwa kujinasubu kuwa wao ni waarabu na sio waafrika.
Lakini kwenye mapenzi ya timu hilo huwa halijawahi kuwa sababu yenye nguvu.
Hapo sawaMimi binafsi naikubali Mamelody kwa mpira mkubwa inaocheza na wala sababu zangu hazijajikita kwenye maswala ya races
Sitaki lolote..kwani vipi?