Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
Kwa mfano mwaka huu nimeangalia mechi zao zote walipokutana , technically hawapo vizuriBasi sawa, angikua mkali basi angeongoza kuchukua ubingwa
Fuatilia records za al ahly kisha cheki za mamelodi wako utapata jibu, kisha rudi kwa wydad n.k
Kila la heri wydad
Kwa mfano mwaka huu nimeangalia mechi zao zote walipokutana , technically hawapo vizuri
nimeona Masandawana wamepata red card bana lakini kama wametimia wanavyokimbiza mwizi men.Hivi hawa jamaa ni kweli wapo pungufu ama wanatu ektia tu?