Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #121
Azam wamekandwa 🤣😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi mechi imeshaharibika, wachezaji wanakosa ushindani sahihiNdio walitaka red card wakapewa.....😂😂😂
Mbona umefurahi?Azam wamekandwa 🤣😁😁
tuseme tuwape hayaMbona tumenyimwa goli letu?
Azam ni kichwa cha mwendawazimu, walikuwa na mtaji wa goal 1 la nyumbani eti wakaenda kupaki Bus ugenini!? Mtaji huo ndo wakupaki basi kweli!? Kwa game inavyokwenda watakandwa nyingi sana, sidhani kama kocha wao anatumia akili sawasawa.Azam wamekandwa [emoji1787][emoji16][emoji16]
Tafuteni tena😹Mbona tumenyimwa goli letu?
Offside gani ile?Tafuteni tena😹
Oyaaa 3 hizo, 2 watachukua vital 1 mtachukua simba 😹😹😹Offside gani ile?
Mkuu huku kuna duka wanauza filimbi mia tatu, ukiwa na jero unapewa mbili.. agiza uingie kati kuchezeshaOffside gani ile?