FT: CAFCL | Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024

FT: CAFCL | Yanga SC 6-0 Vital'O | (Agg: 10-0)Preliminary Stage 2nd Leg | Azam Complex | 24.08.2024

Azam wamekandwa [emoji1787][emoji16][emoji16]
Azam ni kichwa cha mwendawazimu, walikuwa na mtaji wa goal 1 la nyumbani eti wakaenda kupaki Bus ugenini!? Mtaji huo ndo wakupaki basi kweli!? Kwa game inavyokwenda watakandwa nyingi sana, sidhani kama kocha wao anatumia akili sawasawa.
 
Back
Top Bottom