ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
UtotoSijajua Jamaa kawaza nini mpaka kuposti kitu kama hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtotoSijajua Jamaa kawaza nini mpaka kuposti kitu kama hicho
Huyo ni shabiki chiziSijajua Jamaa kawaza nini mpaka kuposti kitu kama hicho
Huu ni ushabiki wa kishamba. Huyu mtu nje ya mpira ana familia pia.
Ujinga huu ndio ulichangia yule mzungu wa simba kuondoka huu ni udhalilishaji mkubwaHuu ni ushabiki wa kishamba. Huyu mtu nje ya mpira ana familia pia.
Wabongo wengi ni Washamba na Malimbukeni.Ujinga huu ndio ulichangia yule mzungu wa simba kuondoka huu ni udhalilishaji mkubwa
Mashabiki wengine sijui wana wazimu
Malimbukeni wa mitandaoWabongo wengi ni Washamba na Malimbukeni.
Hapana hii mechi imefanywa kuwa ngumu kwa kupelekwa kule mwanakwelekweMechi ya leo kwa wananchi ni lainiii,kama unanawa
SmalestKila lenye heri kwa Waethiopia, mshinde chuma tatu kwa nunge.
NB:
Zingatia jina la uwanja
Lolote baya liwakute CBE kila la kheli young African japo Mimi ni Simba Ila for the sake of the national at large peperusheni vyema bendera ya Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #CAFCL
⚽️ Cbe SA 🆚 Yanga SC
📆 14.09.2024
🏟 Abebe Bikila Stadium
🕖 15:00 Alasiri
View attachment 3095275