Mzaleee
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,069
- 3,899
I accept the challenge, let us have a short discussion so that I prove myself who I am specifically in education level aspect.we utakuwa umeishia darasa pili wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I accept the challenge, let us have a short discussion so that I prove myself who I am specifically in education level aspect.we utakuwa umeishia darasa pili wewe
Naona umeamua kumtishia kwa English. Mkuu Luhan12 usitishike, ingia ChatGPTI accept the challenge, let us have a short discussion so that I prove myself who I am specifically in education level aspect.
Ateba anachohitaji ni kutumia nafasi anazozipata na kuwa maeneo sahihi. Mpanzu ananyumbulika sana na timu inatengeneza nafasi nyingi ila imekuwa inashindwa kuzitumia.Arteba ni forward player mzuri sana ni mchezaji wa kimfumo sana kwamaana ya kushindana nguvu na mabeki na ku link player mzuri kwa wenzie.
Bado siamini kama ni goal scorer wa kiwango kikubwa na pia anashida ya kupoteza nafasi zawazi za magoli.
Katika kulink na wenzie yuko vizuri sana anaangushwa tu na akina kibu na Mutale ambao ndio wameshindwa kutufungia magoli , angalau sasa mpanzu ameanza kufunga italeta afadhali.
Mukwala hana hizi sifa za Arteba ila yeye ni killer kwenye box ila ana mauchizi yake yeye hatakiwi kukaa na mpira mguuni kwakua hana skills za kuulinda, yeye sifa yake ni kukimbia kwenye channels apitishiwe mipira afunge tu
Tarehe 8 mpange yeye basiAteba ajitathmini sana. Moto alioanza nao umepoa kabisa. Anacheza kwa kurelax sana wakati Simba ilihitaji mshambuliaji katili. Alichofanya Mukwala leo ndiyo anatakiwa awe anafanya yeye kila siku.
Hapa nakupiga 7 Cc ephen_ Bantu Lady ShadeeyaAteba anachohitaji ni kutumia nafasi anazozipata na kuwa maeneo sahihi. Mpanzu ananyumbulika sana na timu inatengeneza nafasi nyingi ila imekuwa inashindwa kuzitumia.
Nadhani kuna umuhimu wa kumchezesha Mpanzu kama 10 halafu Mukwala na Ateba wawe wanacheza pamoja. Ahoua ukiacha penati zake ni mzinguaji tu.
Kwa sasa first 11 ya Simba inatakiwa kuwa. Hiki ndiyo kikosi cha kuipa Simba ubingwa msimu huu.
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Malone
5. Hamza
6. Kagoma
7. Kibu
8. Fernandez
9. Ateba
10. Mpanzu
11. Mukwala
Yanga mbwembwe sana. Na mkifungwa huwa hamkosi visingizio.
🤣🤣🤣🤣🤣Simba bingwa 24/25😃😃😃😃Yanga aingie kwanza kwenye orodha ya 10 bora ya timu bora Afrika ndio aje kujilinganisha na Simba ambayo ni timu ya 6 kwa ubora Afrika kwa mujibu wa CAF
Alisikika kicheche mmoja wa mbagala akibwekaSimba A inacheza na Simba B!😃😃😃
Umeshindwa kwa tabora united utaiweza simba na hako kam mwiko kako
Tarehe 8 kazi unayoYanga mbwembwe sana. Na mkifungwa huwa hamkosi visingizio.
Na bado Trehe 8 ndo mtajua nyeupe na nyekunduSimba A vs Simba B.
(Nyekundu na nyeupe)
Mimi najibizana na wewe, sijibizani na nyingi. Watu wenye akili fupi hupenda majibu ya jumla jumla sana.Na bado Trehe 8 ndo mtajua nyeupe na nyekundu
safari hii nyuma utaingiziwa mwiko ambao haujachongwa vizuri jiandae kwa maumivuMimi najibizana na wewe, sijibizani na nyingi. Watu wenye akili fupi hupenda majibu ya jumla jumla sana.
Kwa kukujibu ni kuwa wewe endelea kulilia wembe; utapewa tu
Gusa achia twende kwao.chomoa mwiko usije ukakunasia
mtani umefurahi mwenyewe!Coastal Union VS Simba SC
| NBC Premier League
| Sheikh Amri Abeid Arusha
| March 1, 2025
Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024
Updates....
Mpira umeanza
Dakika, 19 milango yote ni mingumu si Coastal wala Simba
Dakika, 21 mashambulizi ya kutosha
Full Time: Coastal Union 0 - 3 Simba SC , Huku Steven Mukwala akifunga hattrick yake ya kwanza na kwa Simba anakuwa mchezaji wa 1 na kwa ligi anakuwa mchezaji wa 3 kufunga hattrick baada ya Dube na Aziz Ki wote kutoka Yanga.
YANGA BINGWA 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Ndio ndio 💚💚💚💚💚💚💚YANGA BINGWA 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰