FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

FT | Coastal Union 0-3 Simba SC | NBC Premier League | Sheikh Amri Abeid Arusha | 01 March, 2025

Arteba ni forward player mzuri sana ni mchezaji wa kimfumo sana kwamaana ya kushindana nguvu na mabeki na ku link player mzuri kwa wenzie.

Bado siamini kama ni goal scorer wa kiwango kikubwa na pia anashida ya kupoteza nafasi zawazi za magoli.

Katika kulink na wenzie yuko vizuri sana anaangushwa tu na akina kibu na Mutale ambao ndio wameshindwa kutufungia magoli , angalau sasa mpanzu ameanza kufunga italeta afadhali.

Mukwala hana hizi sifa za Arteba ila yeye ni killer kwenye box ila ana mauchizi yake yeye hatakiwi kukaa na mpira mguuni kwakua hana skills za kuulinda, yeye sifa yake ni kukimbia kwenye channels apitishiwe mipira afunge tu
Ateba anachohitaji ni kutumia nafasi anazozipata na kuwa maeneo sahihi. Mpanzu ananyumbulika sana na timu inatengeneza nafasi nyingi ila imekuwa inashindwa kuzitumia.

Nadhani kuna umuhimu wa kumchezesha Mpanzu kama 10 halafu Mukwala na Ateba wawe wanacheza pamoja. Ahoua ukiacha penati zake ni mzinguaji tu.

Kwa sasa first 11 ya Simba inatakiwa kuwa. Hiki ndiyo kikosi cha kuipa Simba ubingwa msimu huu.
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Malone
5. Hamza
6. Kagoma
7. Kibu
8. Fernandez
9. Ateba
10. Mpanzu
11. Mukwala
 
Ateba ajitathmini sana. Moto alioanza nao umepoa kabisa. Anacheza kwa kurelax sana wakati Simba ilihitaji mshambuliaji katili. Alichofanya Mukwala leo ndiyo anatakiwa awe anafanya yeye kila siku.
Tarehe 8 mpange yeye basi
 
Ateba anachohitaji ni kutumia nafasi anazozipata na kuwa maeneo sahihi. Mpanzu ananyumbulika sana na timu inatengeneza nafasi nyingi ila imekuwa inashindwa kuzitumia.

Nadhani kuna umuhimu wa kumchezesha Mpanzu kama 10 halafu Mukwala na Ateba wawe wanacheza pamoja. Ahoua ukiacha penati zake ni mzinguaji tu.

Kwa sasa first 11 ya Simba inatakiwa kuwa. Hiki ndiyo kikosi cha kuipa Simba ubingwa msimu huu.
1. Camara
2. Kapombe
3. Nouma
4. Malone
5. Hamza
6. Kagoma
7. Kibu
8. Fernandez
9. Ateba
10. Mpanzu
11. Mukwala
Hapa nakupiga 7 Cc ephen_ Bantu Lady Shadeeya
 
Mimi najibizana na wewe, sijibizani na nyingi. Watu wenye akili fupi hupenda majibu ya jumla jumla sana.

Kwa kukujibu ni kuwa wewe endelea kulilia wembe; utapewa tu
safari hii nyuma utaingiziwa mwiko ambao haujachongwa vizuri jiandae kwa maumivu
 
Coastal Union VS Simba SC
| NBC Premier League
| Sheikh Amri Abeid Arusha
| March 1, 2025

Soma Pia: FT: Simba SC 2-2 Costal Union | NBC Premier League | KMC Complex | 4 Octoba, 2024


Updates....

Mpira umeanza

Dakika, 19 milango yote ni mingumu si Coastal wala Simba

Dakika, 21 mashambulizi ya kutosha

Full Time: Coastal Union 0 - 3 Simba SC , Huku Steven Mukwala akifunga hattrick yake ya kwanza na kwa Simba anakuwa mchezaji wa 1 na kwa ligi anakuwa mchezaji wa 3 kufunga hattrick baada ya Dube na Aziz Ki wote kutoka Yanga.
mtani umefurahi mwenyewe!
 
Back
Top Bottom