FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

Hiv sku hiz Tanga Kuna uwanja wa taa??? Mi nazan gem Ni saa kumi
 
Simba leo tena anapigwa cha Mkwezi km alivyofanywa na wale Jamaa wa Magereza, hawatoamini jinsi Ahmed Ally anavyochekea CHOONI
20240306_182453.jpg
 
Oyaaa wewe, Wewee, we mwenye jezi ya Simba 😡 Nitakupiga vichwa hiviii ✌
 
LEO NI MWENDO WA KUSTIHANA KAMA KIAPO.Coast haijawahi sumbua Simba katika hatua kama hizi. Coast ni daraja la Simba wakiwa katika nyakati ngumu. Saidoo alitumia daraja hili kumfikia Mayeye. Wananchi msifikirie hii kutokea. Hata hivyo gape ya 7 points siyo dogo kwa form wenyenayo Yanga kuelekea ubingwa. LEO TUANGALIE MAIGIZO KWANI SCTIPT imeshaandaliwa
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Tutegemee Leo saido afunge penalties 5

Maana wanacheza Kulwa na doto
 
Simba wajitahidi wawafunge hao Coastal,inafedhehesha sana Simba akifungwa hasa na leo tena
 
Back
Top Bottom