FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

Hiv sku hiz Tanga Kuna uwanja wa taa??? Mi nazan gem Ni saa kumi
 
Simba leo tena anapigwa cha Mkwezi km alivyofanywa na wale Jamaa wa Magereza, hawatoamini jinsi Ahmed Ally anavyochekea CHOONI
 
Oyaaa wewe, Wewee, we mwenye jezi ya Simba 😡 Nitakupiga vichwa hiviii ✌
 
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Tutegemee Leo saido afunge penalties 5

Maana wanacheza Kulwa na doto
 
Simba wajitahidi wawafunge hao Coastal,inafedhehesha sana Simba akifungwa hasa na leo tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…