🐸Huwaza Simba kuliko kutafuta hela 😂Wapinzani wetu mmeanza
Sio Coastal UnionSimba leo tena anapigwa cha Mkwezi km alivyofanywa na wale Jamaa wa Magereza, hawatoamini jinsi Ahmed Ally anavyochekea CHOONI View attachment 2929427
Ndio hao hao wanaenda kuwapiga Simba cha MkweziSio Coastal Union
Kwani ngao ya jamii ilichezwa wapi na saa ngapi?Hiv sku hiz Tanga Kuna uwanja wa taa??? Mi nazan gem Ni saa kumi
Nipo hapa sikimbii leo Simba anachezea tenaHaya!
Usikimbie hapa
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮LEO NI MWENDO WA KUSTIHANA KAMA KIAPO.Coast haijawahi sumbua Simba katika hatua kama hizi. Coast ni daraja la Simba wakiwa katika nyakati ngumu. Saidoo alitumia daraja hili kumfikia Mayeye. Wananchi msifikirie hii kutokea. Hata hivyo gape ya 7 points siyo dogo kwa form wenyenayo Yanga kuelekea ubingwa. LEO TUANGALIE MAIGIZO KWANI SCTIPT imeshaandaliwa
Sikimbii utakimbia weweSawa
Tusubirie kabumbu lianze uone utakavyokimbia uziNever on Earth