FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

FT: Coastal Union 1-2 Simba SC | NBC Premier League| Mkwakwani Stadium| March 09, 2024

😂😂😂 Nawacheka sana.
Wale mliotaka kwenda kupika hamuendi tu?
 
Hatujazoea hii Simba,heri hata wachezaji wafukuzwe wote tuanze mwanzo
 
Mimi Nina kitu nitafika mbali kwakweli...ninatabiri sawasawia matokeo ya watani ...rejeeni post yangu ya Leo namba 108# nimetabiri sawasawia Ila mnanipuuzia...lakini pia Jana mechi ya yanga post yangu namba 109 nilitabiri matokeo ya mechi yote sawa sawia...kiukweli ni uwezo wa kipekee Sana kujua matokeo yapi ya timu zote kufungana kwa idadi ileile ya magoli na kweli hutokea...nikubalini tu...

Shahidi yangu Kuna mtu anaitwa kalplano na mwingine alikubali jana nimemsahau...Kama unahisi ni rahisi tabiri na wewe..

Ahsanteni ndugu zanguni tukutane next game
 
Mimi Nina kitu nitafika mbali kwakweli...ninatabiri sawasawia matokeo ya watani ...rejeeni post yangu ya Leo namba 108# nimetabiri sawasawia Ila mnanipuuzia...lakini pia Jana mechi ya yanga post yangu namba 109 nilitabiri matokeo ya mechi yote sawa sawia...kiukweli ni uwezo wa kipekee Sana kujua matokeo yapi ya timu zote kufungana kwa idadi ileile ya magoli na kweli hutokea...nikubalini tu...

Shahidi yangu Kuna mtu anaitwa kalplano na mwingine alikubali jana nimemsahau...Kama unahisi ni rahisi tabiri na wewe..

Ahsanteni ndugu zanguni tukutane next game
Hongera mikeka yako inatiki sana
 
Mimi Nina kitu nitafika mbali kwakweli...ninatabiri sawasawia matokeo ya watani ...rejeeni post yangu ya Leo namba 108# nimetabiri sawasawia Ila mnanipuuzia...lakini pia Jana mechi ya yanga post yangu namba 109 nilitabiri matokeo ya mechi yote sawa sawia...kiukweli ni uwezo wa kipekee Sana kujua matokeo yapi ya timu zote kufungana kwa idadi ileile ya magoli na kweli hutokea...nikubalini tu...

Shahidi yangu Kuna mtu anaitwa kalplano na mwingine alikubali jana nimemsahau...Kama unahisi ni rahisi tabiri na wewe..

Ahsanteni ndugu zanguni tukutane next game
Wazee wangu wakubashiri...tuanze hapo mnaonaje hii mechi itaishaje ?ngapingapi?...Mimi utabiri wangu simba 2 coastal 1(simba 2 na coastal 1)haya twendeni kazi
Post hii hapa mkaangalie na ya Jana natabiri kabla ya mechi kuchezwa
 
Kama uoni ubovu wa Simba basi wewe ni kipofu!
Simba ni mbovu kuanzia uongozi, uendeshaji, usajili n.k
Umeupima na nini huo ubovu kwa kiasi cha kutaka wafukuzwe wote tuanze moja? Timu ipo nafasi ya 2 kwenye ligi na imevuka hatua ya makundi Club bingwa.

FT,Simba kashinda 2 kwa 1.
 
Back
Top Bottom