Nakubaliana na wewe kusema mahesabu magumu, lakini kusema hayana uhalisia umekosea. Yanga anaweza kushinda hapa taifa na anaweza kudraw Cairo piaKwa sababu CRB waliwafunga 3, msipofunga 3 inabidi mshinde na mpate sare Cairo dhidi ya Al Ahly mahesabu ambayo ni magumu na hayana uhalisia.
Hujui kitu, Yanga alifungwa Cairo kwenye hiyo mechi na kufanya matokea yawe 1-1, kuweka mizania sawa na matokeo ya Dsm. Hivyo kwa historia pia Yanga hajawahi pata draw mbele ya Al Ahly Misri.Kipindi Yanga anafikishana matuta na Al Ahly mjini Cairo ulikua bado upo kwenu Kakonko?
Haiwezi Kupitia imeshawakataWewe ndiye unatamani iwe hivyo, ila mpira haupo hivyo kama hesabu za matikiti. Tunajua Yanga ikipita utaumia, ila kundi kila mtu ananafasi na kwenye mpira lolote linawezekana.
Hana uwezo huo Kwa hizimechi 2 alizosalia nazo 😆😆Nakubaliana na wewe kusema mahesabu magumu, lakini kusema hayana uhalisia umekosea. Yanga anaweza kushinda hapa taifa na anaweza kudraw Cairo pia
Imeshawakata......ndio nini?Haiwezi Kupitia imeshawakata
Haya maneno tuliyasikia sana kuelekea mechi ya marudiano kule Tunisia.Yanga safari ndio imeisha, hata wakishinda wiki ijayo dhidi CRB bado hawana uwezo wa kutoa draw na Al Ahly Cairo, beki Mwamnyeto Maguire, Cairo lazima wachomeshe tu.
Team ndondokela mmeanza sasa, tarehe 23 sio mbali b…Kundi limeshakuwa gumu kwa Yanga. Na walio kwenye nafasi mbili za juu wanamalizia mechi zao za mwisho home.
Ova
Kwamba ningesema kundi ni jepesi kwa Yanga?Team ndondokela mmeanza sasa, tarehe 23 sio mbali b…
Ndiyo utajua nini maana ya mwakarobo.Team ndondokela mmeanza sasa, tarehe 23 sio mbali b…
Okay Kwa hio Yanga ya kipindi kile ilikua imejipata?Hujui kitu, Yanga alifungwa Cairo kwenye hiyo mechi na kufanya matokea yawe 1-1, kuweka mizania sawa na matokeo ya Dsm. Hivyo kwa historia pia Yanga hajawahi pata draw mbele ya Al Ahly Misri.
Pili, Al Ahly hii ni bingwa mtetezi ila Al Ahly ya wakati huo ilikuwa inahitafuta, kutegemea Yanga kupata draw Cairo ni kutegemea kuona bikra labor ward.
Unazingua sana mbona mwaka 2014 alitoa nae sare hapo misriHujui kitu, Yanga alifungwa Cairo kwenye hiyo mechi na kufanya matokea yawe 1-1, kuweka mizania sawa na matokeo ya Dsm. Hivyo kwa historia pia Yanga hajawahi pata draw mbele ya Al Ahly Misri.
Pili, Al Ahly hii ni bingwa mtetezi ila Al Ahly ya wakati huo ilikuwa inahitafuta, kutegemea Yanga kupata draw Cairo ni kutegemea kuona bikra labor ward.
Ungeongeza tu maneno machache… Ila wana nafasi.Kwamba ningesema kundi ni jepesi kwa Yanga?
Ova
Shukran sana msaidizi "mua sibu".Mechi imeisha kama nilivyotabiri.
Kumbukeni Yanga hawezi kumfunga CRB kwa tofauti ya goli 3 (na wakifanya mchezo wanaweza kupoteza vile vile). Wakisema wacheze kwa kuzitafuta goli nyingi, pakacha la kina Mwamnyeto nalo litakuwa linavuja.
Kwa maana hiyo hata akimfunga katika mechi ijayo, CRB bado ana uhakika wa kumfunga Medeama mechi ya mwisho. Yanga hawezi kumfunga Al Ahly kwao katika mechi ya mwisho, hilo haliwezi kutokea.
Kwa hiyo, baada ya mechi za mwisho hata Yanga na CRB wakilingana points, wataangalia kwanza walivyokutana aggregate inasomaje.
Hayo ndiyo mahesabu.
Hujui kitu, Yanga alifungwa Cairo kwenye hiyo mechi na kufanya matokea yawe 1-1, kuweka mizania sawa na matokeo ya Dsm. Hivyo kwa historia pia Yanga hajawahi pata draw mbele ya Al Ahly Misri.
Pili, Al Ahly hii ni bingwa mtetezi ila Al Ahly ya wakati huo ilikuwa inahitafuta, kutegemea Yanga kupata draw Cairo ni kutegemea kuona bikra labor ward.
Nadhani kwa kuwa sikuongeza neno 'hawana nafasi', automatically ni sawa na kuainisha kwamba wanayo nafasi.Ungeongeza tu maneno machache… Ila wana nafasi.
B… wake mtu hajawahi kushindwa. Niseme tu ukweli nimecheka sana. LolNadhani kwa kuwa sikuongeza neno 'hawana nafasi', automatically ni sawa na kuainisha kwamba wanayo nafasi.
Labda ni lwa vile sijazoea kutumia maneno mengi kwa kuelezea jambo dogo. Ni hivyo b...
Ova
Ni sahihi japo hilo la Al Ahly ni hesabu za mwisho kabisa, kilichopo sasa ni kuhahakikisha wanaweka target ya kuumaliza mchezo wa kufuzu robo fainali tarehe 24 kwa kujipanga wapate magoli zaidi ya matatu dhidi ya CRB. Hili litafanya wachezaji wawe na kiwango kikubwa cha kupambana hata wakikosa goli hizo nne ila itawafanya wapate mapambane wapate magoli kwa wingi.Good wishers wengi wa YANGA wanapigia hesabu kuifunga CRB na ku draw na Ahly.
Uongozi wa YANGA wakienda na mentality hii wataishia kwenye malengo yao ya makundi, lakini bonus ya robo na kuendelea itakua ngumu sana.
Kama wanataka hiyo bonus waweke lengo la kushinda Misri wakikosa ushindi waangukie kwenye sare.
Ukiweka lengo la sare nyumbani kwa Ahly atakufirimba tu.