vibertz
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 2,474
- 4,726
Umesoma comment yake ili ubishane au ulisoma ili uelewe alichoandika? Embu soma alichoandika halafu angalia upuuzi wako uliyoujibuWakifungana points na Cr Belouzidad kigezo kitachotumika kupitisha timu ni H2H baina ya hizo timu mbili zilivyokutana.
Alikuelimisha mwana Uto mwenzako lakini bado huelewi
Kweli jambo dogo kama hili nalo la kuhitaji tuition?