Ulitaka afanye nini?Metacha hamna kipa hapo
Leo hamna cha Nzengeli wala niniππMax nzengeli lazima akiwashe leo
Yule bado hajaanza mapenzi!
kumfunga mtu 5 sio kazi rahisi akiw n timu nzuriVilijidai vinataka kupishana na mwarabu nyumbani kwake, wakitaka kuamini kwamba tano ni kitu cha kawaida waendelee kupishana nae
Hawa ni Yanga au Barcelona ya Rijkaard. Hawaogopi kufunguka ugenini? Ubaya wa hii gambling ya Yanga anaweza kula mkono kama hata waheshimu jamaa.
Tuliaaππππ!Nani kasema mnakata tamaa
Mcheza kwao hutunzwatunanyimwa penati.hapa
SpikaTuliaaππππ!