kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Kwenye vikobaHivi huyu jamaa Koni Koni Yanga Wamemtoa Wapi?
Hata mie sikujua kuwa mzee wa mashuti alikuwepoAzizi Ki kumbe alikuwepo
Jamani watu mmekuwa wasiri
Mpaka sasa ngapi ngapi sitaki uchambuzi wa uchakondooN
Ni kweli yanga hawana direction!? Tusiweke upenzi mbele, mie binafsi nasema yanga yupo vizuri.
Kamateni huyu🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🏃🏻🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaiona kesho mchana naweka na picha yangu nikiwa uwanjaniWw nionyeshee hapa hiyo ticket nakutumia Msimbazi.
Sijawahi wewe nusu fainali ya CONFEDERATION kwa MUJIBU WA CAF ushawahi kufika?,pamoja nakuchoma nyasi kiwanja cha watu South ila still bado ukaishia.Hata wee Robo hujawahi ya CL, ndo km leo hapa makundi na unaoneshwa huku sio level zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana uwezo huo
Labda wakojaniSisi afunga Mwarabu nyumbani Kwao....
Mwarabu gani Wewe afunga..?
Isije kuwa Walikuwa Waarabu Koko?