FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

FT: CR Belouizdad 3-0 Yanga SC | CAF Champions league | Stade du 5 Juillet | 24.11.2023

Hata wee Robo hujawahi ya CL, ndo km leo hapa makundi na unaoneshwa huku sio level zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi wewe nusu fainali ya CONFEDERATION kwa MUJIBU WA CAF ushawahi kufika?,pamoja nakuchoma nyasi kiwanja cha watu South ila still bado ukaishia.

Nitumie picha ya ticket yako uliyo nunua,kuna msimbazi unakusubiri.
 
Utabiri.
Yanga hawatapita hatua inayofuata baada ya makundi. Ila Simba wakitulia watapita. Hawa waarabu nimegundua wanahitaji timing kama unachinja kobe. Sio juhudi zisizo na malengo.

Ni sawa na kuwa na nguvu nyiiingi za kiume alafu huna uwezo wa kutengeneza mtoto. Watuwanataka matokeo sio juhudi butu.
 
Back
Top Bottom