Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Mtani usiniongeleshe nimenuna, ila 3 jamani aargh inaumaa๐Poleee, mpunguze maneno
Yale magoal anayazuiaje?Mwisho wa Metacha kukaa golini ni leo!
Jinga kabisa.
Nakazia kwa uchungu na hasira nyingi ๐๐Mwisho wa Metacha kukaa golini ni leo!
Jinga kabisa.
Teh teh ๐๐๐ dah!....hii kaliBELOUZIDAD Mungu atawalipa
Hiyo ni Yanga bila mizimu, usilaumu kipaMwisho wa Metacha kukaa golini ni leo!
Jinga kabisa.
Yaani unalinganisha Argentina na Utopolo!! You are not serious!!Hata Argentina mechi ya kwanza makundi alipigwa na Saudi Arabia mwisho wa siku akawa bingwa na huo ndio mwendo wa mabingwa ,hata alipigwa bado Yanga ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri katika mashindano haya.
Zikitakiwa ziwe 5 ili iwaume vizuri.Mtani usiniongeleshe nimenuna, ila 3 jamani aargh inaumaa[emoji17]
Lwege Lwege vuuuu๐๐๐๐ maninaaKiiranga komooo
Na mkomae na huo mkono wa nyani Uto wahed ๐ ๐Kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi........ Bado Yanga wana nafasi ya kufanya vizuri wakiona huko mbeleni....
Kalale nazo ๐๐คชMtani usiniongeleshe nimenuna, ila 3 jamani aargh inaumaa๐